Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Habari kutoka BBC zinasema polisi nchini Afrika Kusini imefyatulia risasi wachimba madini waliokuwa wanaandamana kudai malipo ya mshahara zaidi. Watu 18 wamekufa.Afrika ileile na mambo yaleyale.
Habari kutoka BBC zinasema polisi nchini Afrika Kusini imefyatulia risasi wachimba madini waliokuwa wanaandamana kudai malipo ya mshahara zaidi. Watu 18 wamekufa.Afrika ileile na mambo yaleyale.
Kuwa police bondeni ni zaidi ya ajira ni hatari.joh'berg huokotwa askari 9 wameuawa kila siku asubuhi .unapoapishwa kuwa police unakabidhiwa bastola papo hapo kwa usalama wako na raia .ni vema serikali ya zuma ikapunguza gape ya maisha kati ya tajiri na maskin ni kubwa mno pale
those policemen were just trigger happy walitaka kuwaua hao watu mara let me ask a simple question polisi akifyatua risasi angani how many people will not run watu wangapi wata baki hapo all the police had to do was shoot in the air to disperse the crowd simple psychology