Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,746
Ukweli mchungu ila habari ndiyo hiyo.
Maisha ya Afrika Kusini yasikie kwenye isindingo japo ilishamalizika. Napo wataja wahusika asilimia kubwa wapo kwenye kundi la uhalifu kwa madiba.
Wengi wao wamejikuta hata kama sio washiriki wa uhalifu ila wapokeaji wavitu vya uhalifu na mambo ya kihalifu.
Afrika Kusini ndio nchi ya kwanza afrika kwa uhalifu na usishangae Kila kukicha magroup Yao ya mabaharia wanapost RIP.
Watoto wa mbwa mwitu, panya road, uswazi, walioshindikana, waliokimbia kesi nchini, wanataka uhuru wa kuwa wahalifu zaidi ya nyumbani Tanzania wote wanapenda kwenda huko.
Maisha ya Afrika Kusini yasikie kwenye isindingo japo ilishamalizika. Napo wataja wahusika asilimia kubwa wapo kwenye kundi la uhalifu kwa madiba.
Wengi wao wamejikuta hata kama sio washiriki wa uhalifu ila wapokeaji wavitu vya uhalifu na mambo ya kihalifu.
Afrika Kusini ndio nchi ya kwanza afrika kwa uhalifu na usishangae Kila kukicha magroup Yao ya mabaharia wanapost RIP.
Watoto wa mbwa mwitu, panya road, uswazi, walioshindikana, waliokimbia kesi nchini, wanataka uhuru wa kuwa wahalifu zaidi ya nyumbani Tanzania wote wanapenda kwenda huko.