MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,544
- 11,644
Polisi Tanzania, kwenye bomu la kurusha kitu muhimu kuliko vyote ni Fuse.
CIA wakitaka kuleta mabomu kwa ajili ya kuanzisha vita hawawezi kuleti bomu iliyonganishwa lote, Wataanza kuleta components moja moja, mfano hizo fuse zitakuja kama vyuma chakavu.
Wakileta fuse, vijana watamaliza kazi wenyewe.
CIA wakitaka kuleta mabomu kwa ajili ya kuanzisha vita hawawezi kuleti bomu iliyonganishwa lote, Wataanza kuleta components moja moja, mfano hizo fuse zitakuja kama vyuma chakavu.
Wakileta fuse, vijana watamaliza kazi wenyewe.