Police wanaswa na Meno ya Tembo

Status
Not open for further replies.

kabhakulu.com

Member
Apr 17, 2013
70
8
Kwa mara nyingine tena police wamenaswa na meno ya Tembo. Huu ni umaskini unaowasumbua ndio maana tuhuma kama hizi kwao haziishi. Alafu wanaendelea kuwa vibaraka wa CCM wakati hali yao ni ngumu sana
 
Ndio nini sasa?ndio maana mimi jf huwa msomaji tu wa thread sio lazima kila member awe ripota hapa wengine tubaki wasomaji inatosha,
 
Huyo Polisi aliyekamatwa ni kibaraka tu, watakuwepo Manyangumi wenye kuwatuma hao.
 
Kwa mara nyingine tena police wamenaswa na meno ya Tembo. Huu ni umaskini unaowasumbua ndio maana tuhuma kama hizi kwao haziishi. Alafu wanaendelea kuwa vibaraka wa CCM wakati hali yao ni ngumu sana

Wengne mnajiropokea tu ili hali hauna taarifa yoyote inayothbitisha tukio hlo. Hebu thbithisha imetokea wap? Ww mwenyew kabwela tu mmejazwa ujinga na wanasiasa nyiny mnakufa wenzenu wananufaika
 
Ndio nini sasa?ndio maana mimi jf huwa msomaji tu wa thread sio lazima kila member awe ripota hapa wengine tubaki wasomaji inatosha,

Nakusaluti mkuu! Mtu ukijitambuwa na fikra zako lazima zitakuwa huru! Sasa huyu kapost nini. Na Uongozi wa JF eti nao wanaacha habari kama hii. Habari hainyoshi chanzo cha tukio,walikamatiwa wapi hao polisi,walikamatwa na nani,Na lini walikamatwa na majina ya hao mapolisi!!
Watu wengine bwana unaweza dhani labda hawakuzaliwa kawaida.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom