Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,613
- 164,637
Siku hizi polepole amekuwa haraka haraka ana kiherehereJana mwanadada Mange katika account yake ya Instagram alikuja na habari nzito kidogo kuhusu ulinzi wa mheshimiwa habari ambayo hata mimi binafsi ilinishitua na kuniacha na maswali mengi kichwani mwangu.
Baada ya kusoma hiyo habari nilijua tu ni lazima itajibiwa/kukanushwa na vyombo husika na kama sio vyombo husika basi bwana Polepole lazima atajibu tu.
Kama nilivyofikiri,naona bwana Polepole teyari keshajitokeza kujibu na kukanusha habari hiyo na hii ikiwa si mara ya kwanza kwa bwana Polepole kumjibu mwanadada yule.
Swali langu ni je,Polepole ndio msemaji wa serikali?
Kama wahusika wameamua kupuuza taarifa hizo,kwanini Polepole ndio anahangaika?
Au bwana Polepole account iliyotumika kumjibu Mange si yako bali ni account fake?
Polepole wewe ni member mwenzetu hapa JF hebu tunaomba ujitokeze ili utoe ufafanuzi/majibu juu ya hili swala.
Sijui bwana yule anampa nini huyu kijana mwenzetu!!Polepole hawezi tena kuja humu jf , ashazoea kuongea na kupigiwa makofi , na kujibu maswali ya kupangwa .
Salary Slip,Jana mwanadada Mange katika account yake ya Instagram alikuja na habari nzito kidogo kuhusu ulinzi wa mheshimiwa habari ambayo hata mimi binafsi ilinishitua na kuniacha na maswali mengi kichwani mwangu.
Baada ya kusoma hiyo habari nilijua tu ni lazima itajibiwa/kukanushwa na vyombo husika na kama sio vyombo husika basi bwana Polepole lazima atajibu tu.
Kama nilivyofikiri,naona bwana Polepole teyari keshajitokeza kujibu na kukanusha habari hiyo na hii ikiwa si mara ya kwanza kwa bwana Polepole kumjibu mwanadada yule.
Swali langu ni je,Polepole ndio msemaji wa serikali?
Kama wahusika wameamua kupuuza taarifa hizo,kwanini Polepole ndio anahangaika?
Au bwana Polepole account iliyotumika kumjibu Mange si yako bali ni account fake?
Polepole wewe ni member mwenzetu hapa JF hebu tunaomba ujitokeze ili utoe ufafanuzi/majibu juu ya hili swala.
Ni habari gani mkuu mange alisema?Jana mwanadada Mange katika account yake ya Instagram alikuja na habari nzito kidogo kuhusu ulinzi wa mheshimiwa habari ambayo hata mimi binafsi ilinishitua na kuniacha na maswali mengi kichwani mwangu.
Baada ya kusoma hiyo habari nilijua tu ni lazima itajibiwa/kukanushwa na vyombo husika na kama sio vyombo husika basi bwana Polepole lazima atajibu tu.
Kama nilivyofikiri,naona bwana Polepole teyari keshajitokeza kujibu na kukanusha habari hiyo na hii ikiwa si mara ya kwanza kwa bwana Polepole kumjibu mwanadada yule.
Swali langu ni je,Polepole ndio msemaji wa serikali?
Kama wahusika wameamua kupuuza taarifa hizo,kwanini Polepole ndio anahangaika?
Au bwana Polepole account iliyotumika kumjibu Mange si yako bali ni account fake?
Polepole wewe ni member mwenzetu hapa JF hebu tunaomba ujitokeze ili utoe ufafanuzi/majibu juu ya hili swala.
Polepole mnafiki,Salary Slip,
Nakuunga mkono kwa kuliona hilo. Nilichogundua ni kwamba, Mange Kimambi (kama non state actor) huwa anakuwa na information ambazo ni valid na huwa zinaigusa serikali. Swali langu ni kwanini awe anajibiwa kwa kukanushwa tu na mtu yeyote? Why not the government? Kwani ulinzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni tangu lini likawa swala la chama hata kama ni tawala? Kwanini Polepole asiwe anatafakari ni lipi ajibu na lipi lijibiwe na serikali? Anapoibuka kujibu na huku anasema chama kazi yake ni kuiwajibisha serikali, ni vipi ataiwajibisha serikali anayoisaidia kuitolea majibu? Nafikiri kuna shida mahali fulani kama siyo hulka ya kujipendekeza inayomea miongoni mwa watanzania kwa koti la uzalendo wa kinafiki.
Mambo mengine ni mazito kuyaleta humu unaweza kutafutwa kwa kosa la kusambaza habari za uongo ndio maana nimekwepa kueleza madai ya Mange.Mange alisemaje Mkuu Salary Slip ? Ndugu Polepole naye amesemaje?
Bahati yako. Ha ha ha ha ha haMambo mengine ni mazito kuyaleta humu unaweza kutafutwa kwa kosa la kusambaza habari za uongo ndio maana nimekwepa kueleza madai ya Mange.