mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 2,104
- 3,447
Haifunguki au ndio tayari wamepiga pin😅
vipyeniHaifunguki au ndio tayari wamepiga pin😅
FB yupo Live.Che Polepole tunakupata mitaa Gani Facebook, YouTube,au insta maana tuna ugwadu saa mbili ndiyo hiyo ishafika
Washafungia FBFB yupo Live.
Yuko live tayari.Che Polepole tunakupata mitaa Gani Facebook, YouTube,au insta maana tuna ugwadu saa mbili ndiyo hiyo ishafika
Lakini Nyerere ndio mwanzilishi wa haya matatizo yote mkuu, wenzake wanapita mulemule alipopita yy,Tena hawa wa sasaivi ina unafuu mkubwa kiliko kipindi chakeNyerere akifufuka atacheka sana na Kusikita kwanini alipigania uhuru bora angeacha wakoloni weupe wabaki sasa tunawinda wenyewe kwa wenyewe kisa tu tumepishana hoja Nyerere alikua mpenzi sana Kuuza hoja tushidane kwa Hoja sasa imekua ni vita tunapigania Matumbo yetu
serikali ya ccm mzigo - mbunge bwege (sele bungala)Lakini Nyerere ndio mwanzilishi wa haya matatizo yote mkuu, wenzake wanapita mulemule alipopita yy,Tena hawa wa sasaivi ina unafuu mkubwa kiliko kipindi chake
Washa VPN mkuu unaishije bila.VPNyoutube na facebook wamekata. waoga sana hawa, yaani kijana mmoja tu kama polepole anawashtua hadi nchi nzima wanakata youtube na facebook? dawa yake polepole record, halafu rusha recorded muda wowote wiki ijayo huko.
Kwani Polepole anatarajia kumrarua yule mwanamke mzanzibari tena leo?Che Polepole tunakupata mitaa Gani Facebook, YouTube,au insta maana tuna ugwadu saa mbili ndiyo hiyo ishafika