figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,676
- 59,164
Kaka wa Polepole kadai kwamba Polepole ni Mzima ila anaumwa.
Kwangu Mimi kusikia Polepole ni mzima hata kama anaumwa ni faraja kubwa.
Uchaguzi umeisha.
Namuomba Samia Amuachie huru.
Baddo naamini Balozi Humphrey Herson Polepole soon atakuwa Uraiani
Kwangu Mimi kusikia Polepole ni mzima hata kama anaumwa ni faraja kubwa.
Uchaguzi umeisha.
Namuomba Samia Amuachie huru.
Baddo naamini Balozi Humphrey Herson Polepole soon atakuwa Uraiani