Polepole ni mzima ila anaumwa

Polepole ni mzima ila anaumwa

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,676
Reaction score
59,164
Kaka wa Polepole kadai kwamba Polepole ni Mzima ila anaumwa.

Kwangu Mimi kusikia Polepole ni mzima hata kama anaumwa ni faraja kubwa.

Uchaguzi umeisha.

Namuomba Samia Amuachie huru.

Baddo naamini Balozi Humphrey Herson Polepole soon atakuwa Uraiani
 
Kaka wa Polepole kadai kwamba Polepole ni Mzima ila anaumwa.

Kwangu Mimi kusikia Polepole ni mzima hata kama anaumwa ni faraja kubwa.

Uchaguzi umeisha.

Namuomba Samia Amuachie huru.

Baddo naamini Balozi Humphrey Herson Polepole soon atakuwa Uraiani
Chanzo cha taarifa?
 
Back
Top Bottom