Polepole uhuni kajifunzia CCM na huko wahuni wenzie bado wako
Anacholilia ni kutengwa na kutupwa.
Hakuna hata maana CCM mmoja aliewahi kua mwema.
Huwezi kua mwema wakati umeshiriki kuiba,kubadilisha na kuficha mabox ya kura za wapinzani ili CCm ishinde halafu ukajiiona wewe ni mtu wa haki.
Yote hayo yamefanyika sio wakati wa Mqendazake TU,Bali nyakati zote polepole yumo humo hajawhi hata kushauri TU haki itendeke.
CCM ni ilieile wanachobadilishaga ni Mwenye kiti.
Polepole Hana tofauti na Nape,Mwigulu, January na wengine kama wao,Hawa walishiriki kuwapatia machungu makubwa Wapinzani, lakini wao yalioowakuta wakaanza kutafuta huruma za watu,waliporudishwa kwenye mfumo walikua kimya na maovu yakaendeela kama kawaida.
Huyu ni mhuni TU hana lolote.