Polepole ni mnafiki kama wanafiki wengine

Polepole ni mnafiki kama wanafiki wengine

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
2,258
Reaction score
7,143
Siandiki mengi.
Ila mtu huyu ni mnafiki mkubwa.

Alikuwepo serikalini na Chamani wakati serikali aliyokua akiitumikia iliwatendea baadhi ya Watanzania kama wanavyotendewa Leo hii. Mbona hakujiuzuru.

Mfano wagombea wote wa vyama vya upinzani kuenguliwa kwa vijisababu vya uonevu TU.

Baadhi ya wapinzani na wasio wapinzani walitekwa,walipigwa ,waliumizwa na wengine waliuliwa mbona hakukemea au kujiuzuru?

Kuna wafanyabiashara na wasio wafanyabiashara walifilisiwa na wengine kufungwa mbona hakujiuzuru?

Mbowe na wenzake walikua na kesi ngumu wakati akiwa serikalini na chamani kama hii ya Leo ya Lissu mbona hakuonesha kukerwa wala kuipinga kesi hiyo ya uongo?

Humphrey Polepole Karma inakula ndugu.

Mifumo mliyoijenga na kuikumbatia inawarudi.

Pambana TU utarudi kundini hata Nape alipitia unayopitia lkn Mungu aliamua kesi.
 
Siandiki mengi.
Ila mtu huyu ni mnafiki mkubwa.

Alikuwepo serikalini na Chamani wakati serikali aliyokua akiitumikia iliwatendea baadhi ya Watanzania kama wanavyotendewa Leo hii.
Mbona hakujiuzuru.
Mfano wagombea wote wa vyama vya upinzani kuenguliwa kwa vijisababu vya uonevu TU.
Baadhi ya wapinzani na wasio wapinzani walitekwa,walipigwa ,waliumizww na wengine waliuliwa mbona hakukemea au kujiuzuru?
Kuna wafanyabiashara na wasio wafanyabiashara walifilisiwa na wengine kufungwa mbona hakujiuzuru?

Mbowe na wenzake walikua na kesi ngumu wakati akiwa serikalini na chamani kama hii ya Leo ya Lissu mbona hakuonesha kukerwa wala kuipinga kesi hiyo ya uongo?

Humphrey Polepole Karma inakula ndugu.
Mifumo mliyoijenga na kuikumbatia inawarudi.

Pambana TU utarudi kundini hata Nape alipitia unayopitia lkn Mungu aliamua kesi.
IMG-20250714-WA0034.jpg
download.jpg
 
Hongera Polepole kwa kuikataa dhambi.. sasa upo HURU maana Kweli yako imekuweka.
 
Siandiki mengi.
Ila mtu huyu ni mnafiki mkubwa.

Alikuwepo serikalini na Chamani wakati serikali aliyokua akiitumikia iliwatendea baadhi ya Watanzania kama wanavyotendewa Leo hii. Mbona hakujiuzuru.

Mfano wagombea wote wa vyama vya upinzani kuenguliwa kwa vijisababu vya uonevu TU.

Baadhi ya wapinzani na wasio wapinzani walitekwa,walipigwa ,waliumizwa na wengine waliuliwa mbona hakukemea au kujiuzuru?

Kuna wafanyabiashara na wasio wafanyabiashara walifilisiwa na wengine kufungwa mbona hakujiuzuru?

Mbowe na wenzake walikua na kesi ngumu wakati akiwa serikalini na chamani kama hii ya Leo ya Lissu mbona hakuonesha kukerwa wala kuipinga kesi hiyo ya uongo?

Humphrey Polepole Karma inakula ndugu.

Mifumo mliyoijenga na kuikumbatia inawarudi.

Pambana TU utarudi kundini hata Nape alipitia unayopitia lkn Mungu aliamua kesi.
Tumekataa wahuni
 
Siandiki mengi.
Ila mtu huyu ni mnafiki mkubwa.

Alikuwepo serikalini na Chamani wakati serikali aliyokua akiitumikia iliwatendea baadhi ya Watanzania kama wanavyotendewa Leo hii. Mbona hakujiuzuru.

Mfano wagombea wote wa vyama vya upinzani kuenguliwa kwa vijisababu vya uonevu TU.

Baadhi ya wapinzani na wasio wapinzani walitekwa,walipigwa ,waliumizwa na wengine waliuliwa mbona hakukemea au kujiuzuru?

Kuna wafanyabiashara na wasio wafanyabiashara walifilisiwa na wengine kufungwa mbona hakujiuzuru?

Mbowe na wenzake walikua na kesi ngumu wakati akiwa serikalini na chamani kama hii ya Leo ya Lissu mbona hakuonesha kukerwa wala kuipinga kesi hiyo ya uongo?

Humphrey Polepole Karma inakula ndugu.

Mifumo mliyoijenga na kuikumbatia inawarudi.

Pambana TU utarudi kundini hata Nape alipitia unayopitia lkn Mungu aliamua kesi.

Pole pole anayepambana nanyi ni mwenzetu!

Gv122D3XoAA3vzM.jpeg


Habari ndiyo hiyo!
 
Hapo nani muhuni?
Polepole uhuni kajifunzia CCM na huko wahuni wenzie bado wako
Anacholilia ni kutengwa na kutupwa.
Hakuna hata maana CCM mmoja aliewahi kua mwema.
Huwezi kua mwema wakati umeshiriki kuiba,kubadilisha na kuficha mabox ya kura za wapinzani ili CCm ishinde halafu ukajiiona wewe ni mtu wa haki.
Yote hayo yamefanyika sio wakati wa Mqendazake TU,Bali nyakati zote polepole yumo humo hajawhi hata kushauri TU haki itendeke.
CCM ni ilieile wanachobadilishaga ni Mwenye kiti.
Polepole Hana tofauti na Nape,Mwigulu, January na wengine kama wao,Hawa walishiriki kuwapatia machungu makubwa Wapinzani, lakini wao yalioowakuta wakaanza kutafuta huruma za watu,waliporudishwa kwenye mfumo walikua kimya na maovu yakaendeela kama kawaida.
Huyu ni mhuni TU hana lolote.
 
Hongera Polepole kwa kuikataa dhambi.. sasa upo HURU maana Kweli yako imekuweka.
Polepole hajaikataa dhambi yoyote ndugu,wala Hana ubavu huo,huyo ni mhuni kama wahuni wenzie huko ndani ya CCM,watu kama yeye wako wengi TU huko,utaona siku utawala huu usiompenda ukitoka akirudishwa CCM mateso yataendelea kwa watu na wala hatakea.
Sema sisi Watanzania ni watu wa kusahau.
Kwangu Mimi hakuna mwana CCM muungwana hata mmoja, wote ni vinyonga TU.
 
So what!!?
Muda wa uchaguzi huu anacheza na akili za watu.
Ni kwamba CCM wote hakuna mtu hata mmoja mwema,ila sema mnakulana wenyewe kwa wenyewe kama mbwa mwitu.
Chama chemu chote ni genge la wahuni,Hana jipya, Yuko kama alivyokua Nape, wakati wa Mwendazake alipotolewa alilia,aliporudishwa akacheka.
Hamna kitu.
 
Pole pole anayepambana nanyi ni mwenzetu!

View attachment 3407361

Habari ndiyo hiyo!
Mimi sijawahi kua CCM na hakuna Mwana CCM ninaemuamini.
Polepole anapambana na mfumo alioshiriki kuujenga.
Alishiriki kufunga jini ambalo lilitaka kumla ndio anapambana nalo.
Akifanikiwa kuliua jini hili atarudi kuendelea kushiriki kufuga majibu mengine ili watu wengine waendelee kuliwa..
Nyie kwa sababu ni wepesi kusahau endeleeni kumshangilia.
Ila Mimi simuamini mwana CCM hata mmoja.
 
Umeambiwa katubu, mtu akitubu husamehewa, anakuwa huru
 
Siandiki mengi.
Ila mtu huyu ni mnafiki mkubwa.

Alikuwepo serikalini na Chamani wakati serikali aliyokua akiitumikia iliwatendea baadhi ya Watanzania kama wanavyotendewa Leo hii. Mbona hakujiuzuru.

Mfano wagombea wote wa vyama vya upinzani kuenguliwa kwa vijisababu vya uonevu TU.

Baadhi ya wapinzani na wasio wapinzani walitekwa,walipigwa ,waliumizwa na wengine waliuliwa mbona hakukemea au kujiuzuru?

Kuna wafanyabiashara na wasio wafanyabiashara walifilisiwa na wengine kufungwa mbona hakujiuzuru?

Mbowe na wenzake walikua na kesi ngumu wakati akiwa serikalini na chamani kama hii ya Leo ya Lissu mbona hakuonesha kukerwa wala kuipinga kesi hiyo ya uongo?

Humphrey Polepole Karma inakula ndugu.

Mifumo mliyoijenga na kuikumbatia inawarudi.

Pambana TU utarudi kundini hata Nape alipitia unayopitia lkn Mungu aliamua kesi.
Hivi Kuna time limit ya lini na ki vipi kujiuzulu kunakuwa na maana..?
Mpe kwanza pongezibkwa huo uamuzi,then hayo mengine katiba mpya ya kueleweka itayaweka sawa
 
Nawahi kiti cha mbele kwenye hiyo PC yake ili niielewe hali ilivyo nchini kwetu.
 
Mimi sijawahi kua CCM na hakuna Mwana CCM ninaemuamini.
Polepole anapambana na mfumo alioshiriki kuujenga.
Alishiriki kufunga jini ambalo lilitaka kumla ndio anapambana nalo.
Akifanikiwa kuliua jini hili atarudi kuendelea kushiriki kufuga majibu mengine ili watu wengine waendelee kuliwa..
Nyie kwa sababu ni wepesi kusahau endeleeni kumshangilia.
Ila Mimi simuamini mwana CCM hata mmoja.

Tatizo kubwa zaidi ni kuwa CCM bila ya wewe mwenyewe kujua!

Kwani unadhani hii nchi itakombolewa na malaika peke yao?

Hamuoni Kenya upuuzi kama huu wenu haupo?

Lini mtambue adui wa adui yenu ni mwenzenu?

Bure kabisa!
 
Y
Polepole uhuni kajifunzia CCM na huko wahuni wenzie bado wako
Anacholilia ni kutengwa na kutupwa.
Hakuna hata maana CCM mmoja aliewahi kua mwema.
Huwezi kua mwema wakati umeshiriki kuiba,kubadilisha na kuficha mabox ya kura za wapinzani ili CCm ishinde halafu ukajiiona wewe ni mtu wa haki.
Yote hayo yamefanyika sio wakati wa Mqendazake TU,Bali nyakati zote polepole yumo humo hajawhi hata kushauri TU haki itendeke.
CCM ni ilieile wanachobadilishaga ni Mwenye kiti.
Polepole Hana tofauti na Nape,Mwigulu, January na wengine kama wao,Hawa walishiriki kuwapatia machungu makubwa Wapinzani, lakini wao yalioowakuta wakaanza kutafuta huruma za watu,waliporudishwa kwenye mfumo walikua kimya na maovu yakaendeela kama kawaida.
Huyu ni mhuni TU hana lolote.
Yaani una maana Mvinyo ni Ule Ule bali kinachobadilikaga ni Chupa tu ?????!! 😳 !
Bandugu Hahahahaha ndio maana wengine huwa wanajiaminisha eti kwenye siasa hakuna Mungu !

Duh 🙄 kweli siasa za Nchi hii zimeingiliwa !
Ngoja Tusubiri tuone !! 🤣🤣😄
 
Back
Top Bottom