Polepole na siasa za mwendokasi

Bora ya dk. Slaa na Zitto wao walifanya siasa jukwaani wakiwa na platforms zao, sasa huo hajulikani anaishi wapi yuko km nguchiro nani atamzingatia. Polepole ni miongoni mwa watu wa hovyo kabisa kutokea, ushindane na CCM km mtu binafsi tena ukiwa mafichoni? Hana akili kabisa
 
Hapana jaribu kusoma tena kwa makini
Hizo mbinu anazotumia polepole walishazitumia wakina zitto na doctor slaa sema sisi ni wasahaulifu
Yaani nyie nyumbu kweli ni majinga, mnaanzisha uzi wa kipuuzi mnajadili wenyewe km mazuzu basi mnaona mmefanya la.maana. kwanza mnajidanganya humu JF kwamba CCM haipendwi, CCM bado ndio tumaini la watanzania na wanaipenda sana.
 
Yaani nyie nyumbu kweli ni majinga, mnaanzisha uzi wa kipuuzi mnajadili wenyewe km mazuzu basi mnaona mmefanya la.maana. kwanza mnajidanganya humu JF kwamba CCM haipendwi, CCM bado ndio tumaini la watanzania na wanaipenda sana.
Kama kuna ambalo umesahau liseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…