Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Humphrey Polepole amesema "Mungu akituvusha, turekebishe sheria ya viongozi wastaafu washtakiwe iondoke, hawa watu waanze kujibu tuhuma na matumizi mabaya ya madaraka wakati wako madarani"
Yanakera sana yanauziana rasilimali za taifa kama karangaNa Hukumu yake iwe ni kuchinjwa, majizi ya Ccm yashughulikiwe
Watu wanamsifia tu ila ukweli aliharibu nchi kbsHii sheria ni nzuri sana ila ilipaswa kuanza na Rais wa kwanza alieifanya nchi kuwa maskini kwa ujamaa wake ambao hakuulewa kabisa kisha wenzake waliofuata na kugawa vitalu na wengine hadi kujenga mahoteli South Africa, kuifanya hii sheria sasa hivi ni udini ulio wazi, haina mashiko, ukweli unakata pande zote, muda utaongea kinachotafutwa kitadhihiri siku moja digidigi akichafukwa zaidi atasema openly his motives. Ni wazi kakata pumzi
POLEPOLE ni mtu ana style nyingi za mashambulizi! Sasa anapita kwenye ufisadi mpaka kieleweke ! Maana sasaivi ajenda iliobaki ni kuchafua sura ya huyu mdoli anaeendeshwa na rimoti! WATANZANIA TUAMKE PUMBAVU ZETU SISI! TUNAKUBALIJE ROSTAM ANAJIMILIKISHA MIGODI MIWILI MUHIMU KWENYE NCHI KWA BILIONI 35? WAKATI MO ANAMWAGA BILIONI 80 KWA SIMBA TU! JE SIMBA INATHAMANI KULIKO MIGODI YA MADINI YA ROSTAM? SAMIA TUTAMFUNGA ASIPOKUBALI SASA KWA HIYARI!Humphrey Polepole amesema "Mungu akituvusha, turekebishe sheria ya viongozi wastaafu washtakiwe iondoke, hawa watu waanze kujibu tuhuma na matumizi mabaya ya madaraka wakati wako madarani"
KabisaWatu wanamsifia tu ila ukweli aliharibu nchi kbs