PolePole: Lowassa na Membe Tupa Nje Mapema Tu.

PolePole: Lowassa na Membe Tupa Nje Mapema Tu.

Polepole kadumaa kabisa...very dormant mentally and physically...hana uhalali wala haki ya kusema fulani afutwe au vp...!!

Huyu dogo mpuuzi sana, anajifanya anajua siasa sana...tokea lini kipindi hiki cha uchaguzi MAKUNDI YASIWEPO...!!? Makundi ni Lazima kipindi hiki cha uchaguzi, sio mara ya kwanza...ni mara zote makundi makubwa yanaibuka wakati wa uchaguzi within party na baadae uchaguzi mkuu...

Makundi ndio yanayochagua, haiwezekani kisiwe na makundi kipindi hiki...sbb wanaompenda mtu fulani ndani ya chama HUONYESHA MAPENZI YAO...na ndio DEMOCRASIA....wana chama kuwa wazi kuonyesha wa wanampenda nani...tayari makundi yanatokea kwa wanachama kuwapenda wanao ona wanafaa kuwa viongozi wao...So makundi ni sehemu halali ya demokrasia kipindi cha uchaguzi...!!

Polepole ni mpuuzi, anajifanya anajua saana kumbe pumba tu anaongea...very foolish...!!!
 
Polepole kadumaa kabisa...very dormant mentally and physically...hana uhalali wala haki ya kusema fulani afutwe au vp...!!

Huyu dogo mpuuzi sana, anajifanya anajua siasa sana...tokea lini kipindi hiki cha uchaguzi MAKUNDI YASIWEPO...!!? Makundi ni Lazima kipindi hiki cha uchaguzi, sio mara ya kwanza...ni mara zote makundi makubwa yanaibuka wakati wa uchaguzi within party na baadae uchaguzi mkuu...

Makundi ndio yanayochagua, haiwezekani kisiwe na makundi kipindi hiki...sbb wanaompenda mtu fulani ndani ya chama HUONYESHA MAPENZI YAO...na ndio DEMOCRASIA....wana chama kuwa wazi kuonyesha wa wanampenda nani...tayari makundi yanatokea kwa wanachama kuwapenda wanao ona wanafaa kuwa viongozi wao...So makundi ni sehemu halali ya demokrasia kipindi cha uchaguzi...!!

Polepole ni mpuuzi, anajifanya anajua saana kumbe pumba tu anaongea...very foolish...!!!
Dah, mbona matusi mengi (hoja ya nguvu) kuliko nguvu ya hoja? Yaani unatumia nguvu nyingi mno kumtukana Polepole ambaye si mleta mada badala ya kushughulika na hoja zake. Badilika!
 
Kuwa na fikira za kwamba lowasa na membe wanaiyumbisha ccm kwa sabubu ya kambi zao ni hoja dhaifu kwa sababu demokrasia inamtaka kila mtu awe na uhuru na haki ya kuchagua au kuchaguliwa. Waacheni wanachama wa ccm wafanye maamuzi ya kumpata mgombea wao. Kambi wakati wa uchaguzi ni kawaida kabisa na baada ya hapo mambo yanaendelea. Hoja ya polepole ni dhaifu na woga wa kuogopa kupambambanisha hoja za wagombea wenye nguvu ndani ya chama.
 
ni ukweli mchungu. ingawa lowasa hawezi kukubali maana kaupania sana urais..
 
Polepole kadumaa kabisa...very dormant mentally and physically...hana uhalali wala haki ya kusema fulani afutwe au vp...!!

Huyu dogo mpuuzi sana, anajifanya anajua siasa sana...tokea lini kipindi hiki cha uchaguzi MAKUNDI YASIWEPO...!!? Makundi ni Lazima kipindi hiki cha uchaguzi, sio mara ya kwanza...ni mara zote makundi makubwa yanaibuka wakati wa uchaguzi within party na baadae uchaguzi mkuu...

Makundi ndio yanayochagua, haiwezekani kisiwe na makundi kipindi hiki...sbb wanaompenda mtu fulani ndani ya chama HUONYESHA MAPENZI YAO...na ndio DEMOCRASIA....wana chama kuwa wazi kuonyesha wa wanampenda nani...tayari makundi yanatokea kwa wanachama kuwapenda wanao ona wanafaa kuwa viongozi wao...So makundi ni sehemu halali ya demokrasia kipindi cha uchaguzi...!!

Polepole ni mpuuzi, anajifanya anajua saana kumbe pumba tu anaongea...very foolish...!!!

ili kulinda heshima ya ccm lowasa sharti aondolewe mwanzoni tumwa mchujo...
 
Kijana Mashuhuri ,Mmoja wa Wajumbe kwenye Tume ya katiba Mpya Yaani Tume ya Warioba ,amejimbambanua na kusema yeye ni mwanachama wa ccm, pia anakitakia Chama chake afya Njema ,Amesema kwamba , Kutokana na Makundi Makubwa mawili ndani ya CCM, yaani Team Membe na Team Lowassa. "Haya makundi yatakimaliza Chama" Watu hawa wawili hawaruhusiwi kufika kwenye Kamati kuu yaani CC. kinachotakiwa Majina yao yaondolewe Mapema Sana wakati wa kumtafuta Mgombea Uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi.

wewe Mwana CCM na wewe mwananchi unaonaje na Ushauri wa Ndugu PolePole? Leta Maoni yako siyo Matusi.

@Humphery PolePole ni Member humu hujamkaribisha kwa heshima tulia kwanza aje mwenyewe kukupa sapoti.
Kaya sema wapi?. Usiwe na haraka kama unakimbizwa.

 
Kijana Mashuhuri ,Mmoja wa Wajumbe kwenye Tume ya katiba Mpya Yaani Tume ya Warioba ,amejimbambanua na kusema yeye ni mwanachama wa ccm, pia anakitakia Chama chake afya Njema ,Amesema kwamba , Kutokana na Makundi Makubwa mawili ndani ya CCM, yaani Team Membe na Team Lowassa. "Haya makundi yatakimaliza Chama" Watu hawa wawili hawaruhusiwi kufika kwenye Kamati kuu yaani CC. kinachotakiwa Majina yao yaondolewe Mapema Sana wakati wa kumtafuta Mgombea Uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi.

wewe Mwana CCM na wewe mwananchi unaonaje na Ushauri wa Ndugu PolePole? Leta Maoni yako siyo Matusi.

Polepole ni msaka tonge...mlafi...anacheza NA opportunities nani asiyejua kuwa anatumwa huyo...anajitia aibu tu...sioni anachoongea mwisho wa siku ataumbukaa
 
Badala ya kuomba amani tuombe Mungu atupe Rais kwa mapenzi yake ili hata itakapotokea ni Lowasa tusije tukazimia kwa mshangao
 
Ni maoni yake yeye kama Pole pole.

Sidhani kama CC itafuata maneno ya mtaani ili kufanya maamuzi.

CC ya CCM hakuna wakati ambao ni rahisi
sana wa kuteua/kuchagua wagombea kama
wakati huu,kwani wingi wa watia nia ndio afya ya chama.

Cha kufanya ni kuwaondolea sifa ya ujumbe wa CC watia nia wote
waliomo ndani ya CC.
 
We Lowasa hawezi kubali yeye ni Raisi tayari. Huyo Membe na wenzake wacha wasindikize
Lowasa hawezi kukubali kivipi? Kwani watanzania ni ng'ombe zake mpaka alazimishe.?hii ni nchi siyo familia ya edward lowassa.
 
vijana kama Polepole ndio hazina ya taifa inayichezewa. Kijana kwenye mchakato wa katiba ameongea mambo ya msingi Sana lakini ccm wakijifanya viziwi likatiba limekwama. Hapa anawapa ushauri wa maana lakini kwa sababu ccm ni mafisi hawatasikia. Huyu membe Na mwenzake Kama ndio wanaonekana kugawa Chama chenu Si muwafukuze? Ina maana ccm Ni membe Na fisadi lowassa pekee.
 
Eddy wewe nani ndani ccm majambazi? Achana Na Polepole maji marefu kwako hajakurupuka wewe unaganga njaa kwa huyo fisadi Na mwizi Mkuu hata hayati baba wa taifa alitusihi tumwogope mkimbilia ikulu
 
Polepole anasumbuliwa na udikteta wa kinazi, mrengo wa chama kimoja, kwani ccm ikisambaratika mimi inanihusu nini?
Ni haki kabisa waachwe wafu wazikane wao kwa wao, ccm si baba wala mama yangu kuna Siku naiacha, JK Nyerere. 1995.

baniani mbaya..........!
 
Polepole kadumaa kabisa...very dormant mentally and physically...hana uhalali wala haki ya kusema fulani afutwe au vp...!!

Huyu dogo mpuuzi sana, anajifanya anajua siasa sana...tokea lini kipindi hiki cha uchaguzi MAKUNDI YASIWEPO...!!? Makundi ni Lazima kipindi hiki cha uchaguzi, sio mara ya kwanza...ni mara zote makundi makubwa yanaibuka wakati wa uchaguzi within party na baadae uchaguzi mkuu...

Makundi ndio yanayochagua, haiwezekani kisiwe na makundi kipindi hiki...sbb wanaompenda mtu fulani ndani ya chama HUONYESHA MAPENZI YAO...na ndio DEMOCRASIA....wana chama kuwa wazi kuonyesha wa wanampenda nani...tayari makundi yanatokea kwa wanachama kuwapenda wanao ona wanafaa kuwa viongozi wao...So makundi ni sehemu halali ya demokrasia kipindi cha uchaguzi...!!

Polepole ni mpuuzi, anajifanya anajua saana kumbe pumba tu anaongea...very foolish...!!!

nauliza je kupenda mgombea = personality assasination ya usiyemuunga mkono?
 
Kijana Mashuhuri ,Mmoja wa Wajumbe kwenye Tume ya katiba Mpya Yaani Tume ya Warioba ,amejimbambanua na kusema yeye ni mwanachama wa ccm, pia anakitakia Chama chake afya Njema ,Amesema kwamba , Kutokana na Makundi Makubwa mawili ndani ya CCM, yaani Team Membe na Team Lowassa. "Haya makundi yatakimaliza Chama" Watu hawa wawili hawaruhusiwi kufika kwenye Kamati kuu yaani CC. kinachotakiwa Majina yao yaondolewe Mapema Sana wakati wa kumtafuta Mgombea Uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi.

wewe Mwana CCM na wewe mwananchi unaonaje na Ushauri wa Ndugu PolePole? Leta Maoni yako siyo Matusi.

Huyu Dogo Kama kalewa kuchaguliwa Mjumbe Wa tume, yaani ameshajichagua kusemea watu Na ndio maana akataki kuona mawazo tofauti
 
Back
Top Bottom