VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,006
Baada ya haya:Lumumba kwafukuta: 'Wahamiaji' wa Polepole wapeperuka, wengine wataka 'dau' lipande. Polepole acharuka!, Polepole hajanyanyua mikono juu kukubali kushindwa. Anajipanga kivingine.Anajipanga kutikisa hata kwa visa vya kisiasa vya kisasa.
Taarifa zilizonifikia huku niliko Singida ni kuwa kwasasa anapanga 'kuwatengeneza' Wahamiaji na kuwapa vyeo kama kwenye video ili 'wanogeshe' habari yake. Taarifa zinabainisha kuwa Katibu wetu wa Itikadi na Uenezi ameona na kuamini kuwa Mwenyekiti wetu Dr. Magufuli anapendezwa na hamahama ya wanasiasa.
Naamini, Katibu wetu Polepole atafanyiwa 'surprise' na Mwenyekiti muda si mrefu. Namsihi kuacha filamu zake hizi na ajikite kutangaza Itikadi na sera za chama chetu. CCM bado iko imara na inapendwa ingawa pia inapondwa.
Mambo ya expansion joints hayo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kinampanda, Iramba-Singida)
Taarifa zilizonifikia huku niliko Singida ni kuwa kwasasa anapanga 'kuwatengeneza' Wahamiaji na kuwapa vyeo kama kwenye video ili 'wanogeshe' habari yake. Taarifa zinabainisha kuwa Katibu wetu wa Itikadi na Uenezi ameona na kuamini kuwa Mwenyekiti wetu Dr. Magufuli anapendezwa na hamahama ya wanasiasa.
Naamini, Katibu wetu Polepole atafanyiwa 'surprise' na Mwenyekiti muda si mrefu. Namsihi kuacha filamu zake hizi na ajikite kutangaza Itikadi na sera za chama chetu. CCM bado iko imara na inapendwa ingawa pia inapondwa.
Mambo ya expansion joints hayo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kinampanda, Iramba-Singida)