Siku zinakwenda kwa kasi sana.Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
Polepole amuulize Mdee hizo kura feki alizitoa wapi.
Siku zinakwenda kwa kasi sana.Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
HahahaSiku zinakwenda kwa kasi sana.
Polepole amuulize Mdee hizo kura feki alizitoa wapi.
View attachment 1636503
Polisi ni wenu na vyombo vyote vya dola ni vyenu. KuchapishaAmani iwe nanyi
Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!
Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?
Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
Kuchapisha kura feki ni kosa la jinai. Polisi ni wenu na vyombo vyote vya dola ni vyenu. Kwa nini hamkuwashitaki wahusika? Tangu lini mkawa na hisani kwa CHADEMA, hasa enzi za Magufuli? Hata mtoto wa kindergarten hawezi kukubali upupu huu!Amani iwe nanyi
Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!
Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?
Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
kweli mda unaenda kasi sanaSiku zinakwenda kwa kasi sana.
Polepole amuulize Mdee hizo kura feki alizitoa wapi.
View attachment 1636503
INGEKUWA NI KWELI LILE JINI LENU MWENDAZAKE NINGEWANYONGA VIONGOZI WOTE WA CHADEMAAmani iwe nanyi
Mkuu wa idara ya itikadi na uenezi wa chama cha Mapinduzi, shujaa Humphrey Polepole wakati akijibu swali la kukamatwa kura feki huko Kawe na baadae kuchomwa moto na wananchi amesema makaratasi hayo ya kura feki yalichapishwa na CHADEMA na baadae wakayasambaza wenyewe kwenye vituo vya kupiga kura na kisha wakayakamata wenyewe na kuyachoma moto wenyewe kwa lengo la kuvuruga uchaguzi mkuu wa mwaka huu!!
Polepole amehoji kama hizo ni karatasi kutoka NEC kwa nini wazichome moto? Kwa nini CHADEMA hizo kura feki hawakuzipeleka polisi kwa uchunguzi?
Hayo mabegi ya kura feki kwa nini aliyekuwa nayo walimkamata na kumwachia?
Wewe ni kichwa box kabisa! Kijana wa kiume tabia hizo sioChadema ni wajinga sana
Makonda in the houseWewe ni kichwa box kabisa! Kijana wa kiume tabia hizo sioView attachment 2429973
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app