Polepole: CCM ni Chama Cha Mungu wa Mbinguni

Chama Cha Mungu wa mbiguni kinashidwa kuongeza mishahara kwa watumishi wake, hiki chama sio cha Mungu wa mbiguni ni chama cha shetani wa mbiguni. Sifa ya Mungu wa kweli ni upendo, uvumilivu, Hana ubaguzi pia hanunui wabunge.
 
Ufahamu umepotea mkichwa
 
Mungu huwa hataki katiba huru,tuangalie tunayoongea tusimzihaki mwenyezi Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…