Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,154
Ipo siku atatoa hesabu ya dhihaka na utapel wanaowafanyia wa Tz. Kama tungekuwa na tume huru ya uchaguzi... Yaan 45min tu walishakula 3-0Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC
Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!
Sasa naona ni mene mene tekeli na peresi.Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC
Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!
Ninachojua serikali ya Magufuli imewekwa na Mungu.
Mungu hana chama.
Mkuu haziakiwi maana yake nini? Unaitia najisi nchi takatifu hukoKatibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC
Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!
CCM expire date 27/10/1985Mbingu ipi?
Chama kilichoshindwa kuwatoa wananchi kwenye umaskini mzito.
Ukifika Dodoma vijijini, Kigoma vijijuni, Lindi vijijini, Mtwara vijijini, Shinyanga, Tabora n.k wananchi wana hali ngumu sana.
CCM wameshindwa kuitumia bahari iliyoanzia kaskazini mpaka kusini mwa Tanzania kuwatoa watu kwenye umaskini.
CCM wameshindwa kuzitumia hifadhi za Taifa kuwatoa watu kwenye umaskini.
CCM wameshindwa kuitumia ardhi kubwa ya Tanzania kuwatoa watu kwenye umaskini mzito. Tanzania kila zao linakubali. Kama likigoma Moshi , Lindi litakubali, Kama likigoma Singida, Njombe litakubali etc .
CCM wameshindwa kuitumia migodi ya madini kuwatoa watu watu kwenye umaskini mzito.
Eti CCM chama cha miungu ya mbinguni
Si kweli,serikali hii imewekwa na WATU WASIOJULIKANANinachojua serikali ya Magufuli imewekwa na Mungu.
Mungu hana chama.
Tunapaswa kuyashinda majaribu siyo kuyakimbia!Naona siku si nyingi utahama kutoka chama fulani kwani hicho chama kwa sasa ni chama cha walevi wa madaraka hvyo bora uhame tu.
Hujui usemalo endelea kuuza tu mananasi hapo uyole!Huna lolote ! mnafiki mkubwa wee ! tangu lini wewe ukajitenga na uharamia wa ccm ? mwenyekiti wako alipotangaza kwamba njooni kwangu mliolemewa na mizigo ya dhambi nami nitawapumzisha mbona hukushangaa ?
Mungu wa mbinguni hafananishwi!Sasa naona ni mene mene tekeli na peresi.
Usiwe juha!Chakubanga aka chakubwengwa yaani anamatatizo yanafanana na mleta mada maana wote wanakonkiwa minds zao
Mtu wa Kanisani hawezi kutoa kauli za kipagani!Kwa nini asitengwe na kanisa lake kwa kufanya kufuru hii!!!!!
Mkuu Alikuwa mfalme herode.Unajua ndugu na kumbuka maandiko Fulani wananchi walimsifia mfalme wao hadi wakafika mahali wakasema sauti ya mfalme ni kama sauti ya Mungu kilichomtokea huyo mfalme mmmh hata haya ya vyama tumefika mahali tunasema vya Mungu yatatutokea bora angesema chama cha kipo kwa mpango Wa Mungu badala ya kusema ni chama cha Mungu alafu madaraka yakulevya ni kitu kibaya sana
Aibu kwa tbc na maccm wote....Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC
Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni hadhiakiwi!