Hatuna uhalali sababu tumerithi!! Acha utani Polepole..Wakati Nyerere na Karume Wanaungana Walishauriana na Wananchi?
Yalikua Maamuzi yao au ya Wananchi?
Zanzibar walikosea Sana Kuungana..Nchi ya Watu Million 1.5 Eti Nayo ni maskini ..
Karume Kipindi anastuka Kakosea Akauawa (Sababu ilikua Muungano) Aliyemfuatia Akajaribu akawekwa Kizuizini Mpaka Amefariki..
Polepole ni hivi..Hata Huyo Muasisi (Karume)Alisha ukataa huu Muungano(Akiufananisha na Koti)
Muungano una Maslahi na CCM siyo Taifa..
Katiba pendekezwa ya Mzee Warioba Ndiyo ingeimarisha Huu Muungano na Siyo hizi porojo Zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.