#COVID19 Polepole, Bashiru na Musukuma mtachanja?

Gwajima

JF-Expert Member
Sep 6, 2018
253
406
Kwanza niwashukuru kwamchango wenu mkubwa katika awamu iliyopita katika kutokomeza kabisa Corona, Ilifika mahali Corona ilikosa kiki Tanzania, mpaka wazungu wakaanza kuja kushangaa ni mbinu gani ilitumika.

Tangu hiki kinachoitwa wimbi la tatu kuanza kuhubiriwa, naona mmekua kimya sana, Watanzania wanahitaji kusikia sauti zenu zenye mamlaka zikinena kuhusu hii chanjo ambayo tuliikataa tangu awamu ya 5.

Najua ni hiyari, lakini nivema tukajua mtaitumia hiari yenu kuchanja au kuto chanja?

Nawatakia Ijumaa njema na maandalizi mema ya Sabato kwa ndugu zangu Wasabato.
 
Itaanza kwa hiyari. Baada ya wiki chache itakuwa lazima.

Screenshot_20210730-144752.png


Screenshot_20210730-144522.png
 
Tangu hiki kinachoitwa wimbi la tatu kuanza kuhubiriwa, naona mmekua kimya sana, Watanzania wanahitaji kusikia sauti zenu zenye mamlaka zikinena kuhusu hii chanjo ambayo tuliikataa tangu awamu ya 5.
Slowslow atachanja ni grasshopper
 
Kwanza niwashukuru kwamchango wenu mkubwa katika awamu iliyopita katika kutokomeza kabisa Corona, Ilifika mahali Corona ilikosa kiki Tanzania, mpaka wazungu wakaanza kuja kushangaa ni mbinu gani ilitumika.

Tangu hiki kinachoitwa wimbi la tatu kuanza kuhubiriwa, naona mmekua kimya sana, Watanzania wanahitaji kusikia sauti zenu zenye mamlaka zikinena kuhusu hii chanjo ambayo tuliikataa tangu awamu ya 5.

Najua ni hiyari, lakini nivema tukajua mtaitumia hiari yenu kuchanja au kuto chanja?

Nawatakia Ijumaa njema na maandalizi mema ya Sabato kwa ndugu zangu Wasabato.
😀😀😀😀😀😀
Gwajima hujambo Mtumishi wa Mungu.
 
Mimi naamini Tourism industry ya hapa Nchini itaanza kusema kama hujachanjwa hakuna Ajira hakuna Mtalii atakubali kuhudumiwa na Mtu ambae hajachanjwa.
 
Kwanza niwashukuru kwamchango wenu mkubwa katika awamu iliyopita katika kutokomeza kabisa Corona, Ilifika mahali Corona ilikosa kiki Tanzania, mpaka wazungu wakaanza kuja kushangaa ni mbinu gani ilitumika.

Tangu hiki kinachoitwa wimbi la tatu kuanza kuhubiriwa, naona mmekua kimya sana, Watanzania wanahitaji kusikia sauti zenu zenye mamlaka zikinena kuhusu hii chanjo ambayo tuliikataa tangu awamu ya 5.

Najua ni hiyari, lakini nivema tukajua mtaitumia hiari yenu kuchanja au kuto chanja?

Nawatakia Ijumaa njema na maandalizi mema ya Sabato kwa ndugu zangu Wasabato.
Huyu ndie Gwaji mwenyewe,au Gwaji jina.
 
Tumepewa bure 1m kelele nyingi me zinatosha nana hiyo bure 1m ili vije covd Delta na tununue zaidi ya 120mil chanjo
 
Back
Top Bottom