Wa Tanzania ni mazombi Kama kiongozi wa upinzani anasota ramande kwa kosa la ugaidi wenye thamani ya laki sita na watu wamelala tu hawakemei huu uhuni Sasa si mazombi
Kwa utendaji na uzalendo uliotukuka Alietuonyesha Ndugu Magufuli. Hakika Hata Mimi nilirudi CCM lakini kwa sasa nikama tumerudi kule kule alipotuoa Ndugu Magufuli.