Polepole asema watu wabaya CCM wanajulikana

Polepole asema watu wabaya CCM wanajulikana

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Humphrey Polepole ameeleza kuwa watu wabaya CCM wanajulikana. Amesisitiza chama kinapaswa kuhakikisha watu wabaya na wahuni hawaingii kwenye mchakato na chama kinawajua.

"Urekibishaji unaanza kuhakikisha kwamba hakuna watu wabaya na wahuni wanaingia kwenye mchakato na chama kinawajua mbona hili liko wazi. Watu wabaya wanajulikana, sisi tunazungumza kama wana CCM" - Humphrey Polepole
 
Na huo ndio ukweli wenyewe ndugu zng watanganyika.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom