Polepole apinga utaratibu wa kuwahamisha machinga, amuonya RC Dar. Ashutumu mikopo kusababisha utegemezi

Mkufunzi wa shule ya uongozi Eng. Hamfrey Polepole amevishutumu vyombo vya kibeberu IMF na World Bank kwa kusababisha umasikini mkubwa na utegemezi wa milele kwa kutoa mikopo kandamizi kwa nchi masikini Kama Tanzania, na ameionya Serikali iliyopo madarakani kuwa makini na mikopo hiyo.

Wananchi wa Kenya waliandamana kupinga mkopo uliokopwa imf nchini Kwao Ila hata Tanzania juzi imekopeshwa mkopo mkubwa wa Tsh 1.3 trilioni na pole pole anasema huko ni kuingia katika mdomo wa mamba yaani ukoloni mamboleo chini ya mabeberu.

Mkufunzi huyo mzalendo ambaye alidai serikali imepigwa photocopy alienda mbali na kumkemea Amos makala RC wa Dar kuwa aache kunyanyasa masikini wamachinga, Bali atende haki. Huyu hapo chini


Wazee was kuunda tatizo na kulitatua
 
Unaijuwa Vieti wewe...laana ya Chadema inawatafuna...sasa ni wao kwa wao

20210501_072041.jpg
 
U Genius wake ni upi? Nakumbuka aliwahi sema bila katiba mpya uwajibikaji hauwezi patikana je alipokua Mbunge aliwahi dai katiba tena??

Aliwahi sema CCM haijawahi shinda uchaguzi kwa uhuru na haki lakini alipokua katibu muenezi alifanya nni kuhakikisha CCM inashinda kupitia chaguzu huru na haki??

Aliwahi sema vyeo kma ma DC havifai zaidi ya kulipana fadhila!! Mbona alipoteuliwa kuwa DC wa ubungo hakukataa teuzi??

Ni hivi Polepole anaongea haya baada ya kuona hana chake serikali hii, ila kama issue ni mikopo mbona alikua anatetea deni la taifa lilipokua linaongezeka kipindi cha JPM kwa hoja kwamba lina jenga nchi kupitia miundombinu??? Leo hii kwa Mama haangalii faida ya mkopo ila anaangalia implications zake kwenye ukoloni mamboleo?? Kwanini hizi double standards??

This man is not a genius ni mnafiki tu, leo akirudishwa serikalini trust me atakua wa kwanza kusifia chanjo na tozo!!
Ni mtu wa hovyo sn huyo mzee
 
Pole pole Ana akili Sana na wakimfukuza ataongea ya Ndani ya chupi
Atafukuzwa.... Utaskia kakimbilia ACT alafu bado naye atalia lia tume huru kma Membe na Lowassa!! Wakati alipokua katibu mwenezi hakupigia chapuo tume huru.

Wanasiasa wa CCM huwa hawana vision kabisa. Walipaswa kujua ipo siku watageukwa so waandae mazingira mapema in case watafukuzwa.

Same to Gwajima na Polepole!! Hawana plan B kabisa.
 
Atafukuzwa.... Utaskia kakimbilia ACT alafu bado naye atalia lia tume huru kma Membe na Lowassa!! Wakati alipokua katibu mwenezi hakupigia chapuo tume huru.

Wanasiasa wa CCM huwa hawana vision kabisa. Walipaswa kujua ipo siku watageukwa so waandae mazingira mapema in case watafukuzwa.

Same to Gwajima na Polepole!! Hawana plan B kabisa.
Hali halisi yakuwa vianasiasa hukumbuki mengi bali maslahi binafsi ya wakati uliopo pekee na kwa ajilii pekee.
 
Mpingeni Polepole kwa hoja sio vioja.
Hoja ipi?
Kasema mikopo ya Mabeberu ni ukoloni na kwamba ni mtego wa kutuburuza kiuchumi.

Lakini kipindi cha JPM akikopa pesa za SGR alidai sio tatizo deni la taifa kupanda maana linaleta miundombinu!!

Sasa which is which??? Tuangalie faida ya mikopo kwenye kuleta miundombinu au tuangalie mikopo kama mtego wa mabeberu kutuburuza kiuchumi??
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Deni ka Taifa sasa hivi limefikia 77.51 Trillions.


Hoja ipi? Kasema mikopo ya Mabeberu ni ukoloni na kwamba ni mtego wa kutuburuza kiuchumi.

Lakini kipindi cha JPM akikopa pesa za SGR alidai sio tatizo deni la taifa kupanda maana linaleta miundombinu!!

Sasa which is which??? Tuangalie faida ya mikopo kwenye kuleta miundombinu au tuangalie mikopo kama mtego wa mabeberu kutuburuza kiuchumi??
 
Jitu hili ni jinga kabisa. Limetesa watu sana.
Lilipewa madaraka likasahau lilipotoka
Hana lolote, shenzi kabisa
 
Polepole kichwa sana huyu jamaa, naweza kumfananisha na mwalimu......sema mafisadi na mapiga dili yanafanya kila njia kuweza kumuingiza mkenge.
 
Mkufunzi wa shule ya uongozi Eng. Hamfrey Polepole amevishutumu vyombo vya kibeberu IMF na World Bank kwa kusababisha umasikini mkubwa na utegemezi wa milele kwa kutoa mikopo kandamizi kwa nchi masikini Kama Tanzania, na ameionya Serikali iliyopo madarakani kuwa makini na mikopo hiyo.

Wananchi wa Kenya waliandamana kupinga mkopo uliokopwa imf nchini Kwao Ila hata Tanzania juzi imekopeshwa mkopo mkubwa wa Tsh 1.3 trilioni na pole pole anasema huko ni kuingia katika mdomo wa mamba yaani ukoloni mamboleo chini ya mabeberu.

Mkufunzi huyo mzalendo ambaye alidai serikali imepigwa photocopy alienda mbali na kumkemea Amos makala RC wa Dar kuwa aache kunyanyasa masikini wamachinga, Bali atende haki. Huyu hapo chini

Mkufunzi mzalendo?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom