mchizikichiziTz
Member
- Aug 25, 2025
- 16
- 9
Yanayojili hivi sasa kwa Humphrey polepole wengi hawajayachukulia serious kutokana na kuonekana hayupo sawa katika afya ya akili, hivyo basi kama upo karibu naye hakikisha anaweza kupatiwa matibabu hayo.
Maana kilichompelekea kufikia hapo ni kupewa madaraka ya kuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba na kutumia madaraka vibaya na baada ya yote hayo aliona hajiuzuru kabla ya skendo yake kuvuma kwa kasi.
Maana kilichompelekea kufikia hapo ni kupewa madaraka ya kuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba na kutumia madaraka vibaya na baada ya yote hayo aliona hajiuzuru kabla ya skendo yake kuvuma kwa kasi.