Kimbesa11
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 4,652
- 2,696
Polepole anafanyia press kwenye vyoo vya wazungu lakini bado wafuasi wa chadema hawalali, Sasa sjajua ni ugonjwa wa wafuasi wa chadema au ni athari za mdudu ujinga, wanakesha wanaskiliza non busness press ambazo HAZINA return yyte, ni useless press.
Nazidi kuwashangaa Hawa wafuasi wa CHADEMA wanaona kabisa anayeongea mwenyewe anajiogopa anajificha kwenye vyoo vya wazungu kwasabu anaropoka uongo lakini wenzetu wafuasi wa chadema wanashinda wanakesha wanamsikiliza Sasa sjui wamelogwa hawa jamaa wa chadema. Wanatia aibu sana.
Nyie jamaa wa chadema Hebu kuweni civilized acheni kufanya Mambo kiprimitive primitive Kama hamna akili. Kwahyo mkimusikiliza polepole mwisho wake huwa ni Nini🤣
Mnasikiliza mradi kumsikiliza lakini hakuna outcome yyte siku zinaenda poleni Sana.
Nazidi kuwashangaa Hawa wafuasi wa CHADEMA wanaona kabisa anayeongea mwenyewe anajiogopa anajificha kwenye vyoo vya wazungu kwasabu anaropoka uongo lakini wenzetu wafuasi wa chadema wanashinda wanakesha wanamsikiliza Sasa sjui wamelogwa hawa jamaa wa chadema. Wanatia aibu sana.
Nyie jamaa wa chadema Hebu kuweni civilized acheni kufanya Mambo kiprimitive primitive Kama hamna akili. Kwahyo mkimusikiliza polepole mwisho wake huwa ni Nini🤣
Mnasikiliza mradi kumsikiliza lakini hakuna outcome yyte siku zinaenda poleni Sana.