GE2025 Polepole aliwahi kusema CCM itatawala miaka 70 sioni hili likitokea hata miaka 5 ijayo

GE2025 Polepole aliwahi kusema CCM itatawala miaka 70 sioni hili likitokea hata miaka 5 ijayo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,812
Reaction score
40,297
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa uchafuzi na mpaka Leo uchaguzi ule ni maarufu Kwa jina la uchafuzi.

Uchaguzi huu wa 2025 mpinzani mkuu na chama chake mmewafanyia hila na kuwaweka ndani ili mgombee peke yenu matokeo yake uchaguzi umedharauliwa.

Hizi ni hatua za mwisho za kuitamatisha CCM kwani mkishafanya dhambi zote hizi mtabakiza nini kabla hamjaondoka, hamjaondokewa au kusababisha machafuko?
 
Nchi ya kufikilika, watu wa kufikilika hata maisha ya kufikilika, hakuna jambo lenye uhakika kabisa hapa Tz...
 
Uchaguzi wa 2020 ulikuwa uchafuzi na mpaka Leo uchaguzi ule ni maarufu Kwa jina la uchafuzi.

Uchaguzi huu wa 2025 mpinzani mkuu na chama chake mmewafanyia hila na kuwaweka ndani ili mgombee peke yenu matokeo yake uchaguzi umedharauliwa.

Hizi ni hatua za mwisho za kuitamatisha ccm kwani mkishafanya dhambi zote hizi mtabakiza nini kabla hamjaondoka, hamjaondokewa au kusababisha machafukKabl
 
Kwann mnasema uongo?Kwanza Chadema hawakuzuiwa kushiriki uchaguzi Bali walijizuia wenyewe,Kuhusu aliyeshtakiwa hukuona maneno aliyosema yaliyompelekea kuwekwa kizuizini? hata kama asingekuwa kizuizini mbona bado wasingeshiriki uchaguzi kwasababu walishajipiga zuio wao wenyewe,sasa kuna shida gani mkisema ukweli?
 
2020 MWASISI WA UCHAFUZI JPM
Wanamtandao walimchafua Magufuli anuke ili ashindwe uchaguzi na wao waendelee kufisidi nchi. Magu akatambua hilo akaona Ili awashinde wahuni afanye alichokifanya kwenye uchaguzi na aendelee kuwamaliza na mwishowe wakamuwahi wao.
 
Kwann mnasema uongo?Kwanza Chadema hawakuzuiwa kushiriki uchaguzi Bali walijizuia wenyewe,Kuhusu aliyeshtakiwa hukuona maneno aliyosema yaliyompelekea kuwekwa kizuizini? hata kama asingekuwa kizuizini mbona bado wasingeshiriki uchaguzi kwasababu walishajipiga zuio wao wenyewe,sasa kuna shida gani mkisema ukweli?
IKo wapi uchaguzi? utafanyaje uchaguzi kwa tume km ile?ref uchaguz wa serikal za mitaa 2024 ilikuwaje? 2020 tume c hi ilikuwaje?
 
Back
Top Bottom