Uchaguzi 2020 Polepole acha kuruka viunzi, tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani

Ujinga gani? ilihali kila kukicha naona masoko yanapanuka kwa wingi wa wafanyabiashara.

Kwamba mtu akifunga bishara chanzo Ni Magufuli?wacheni maneno ya kuokoteza vijiweni
Walichukua pesa za wamiliki wa maduka ya kubadili fedha za kigeni kienyeji kwa njia haramu za kishetani kisha kuwatisha kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi, pesa yote imepigwa kijanja na wanaccm, CCM ni ile ile ukoo wa panya
 
Vyuma vimekaza mno kwa Watanzania wote bila kujali vyama, dini na jinsia. Sisi Watanzania kwa umoja wetu tuna jambo letu oktoba 28. Ambapo kila mtanzania atampa kura Lissu ili apate ushindi wa kimbunga.

Kura zote kwa Lissu.
 
Vyuma vimekaza mno kwa Watanzania wote bila kujali vyama, dini na jinsia. Sisi Watanzania kwa umoja wetu tuna jambo letu oktoba 28. Ambapo kila mtanzania atampa kura Lissu ili apate ushindi wa kimbunga.
Kura zote kwa Lissu.
Kabla ya tarehe 28 tupige kelele sana juu ya NECCCM Tumeccm waliopanga njama kuwapora wapinzani kura zao kwa njia haramu za kishetani
 
karibu kazini maana nashangaa inakuwaje wanyarwanda wapo interested sana na mambo yetu kuliko sisi tulivyo interested na mambo yenu
Katibu mkuu wa CCM kwao ni Rwanda na mtukufu mwenyekiti wa CCM kwao ni Burundi
 
Wanachukua trilion 1.5 na kula 10% ununuzi wa Ndege ni zaidi ya utakatishaji pesa, wanazuia watanzania waliopo nje kutuma pesa kwa ndugu zao kwa visingizio vya utakatishaji pesa matokeo yake watanzania wengi wamefungua A/C kenya na Uganda wakitumiwa pesa huenda huko kuchukua kidogo na kuimarisha uchumi wa hizo Nchi
Majungu hayo.
 
Unazungumzia mambo ambayo yapo wazi kama ukaguzi wa ATCL, deni la taifa, sera za majimbo za CHADEMA hizi ni hoja zipo wazi. Na mwananchi wa kawaida sasa ambae maisha yake yamekuwa duni haya masuala uliofafanua hayana msaada kwake.

Tunataka utuambie kwa nini maisha yamekuwa magumu uraiani na kwa nini CCM haisadii wananchi?

Watu wana maisha magumu wanashindia mihogo ya kukaanga. Biashara zimefungwa na watu wanashindwa kujiajiri maana hamna uwezo wa watu kununua, ndio maana biashara zinakufa. Mbona haya hujafafanua na kutoa majibu maana wananchi wana hali mbaya sana. Alafu unaleta tabasamu la kinafiki sababu wewe una uhakika wa maisha.

Maisha yamekua Magum kwenu nyie ufipa watu kila siku tunapiga hela kina laiza wanakua mabilionea tatizo nyie mmechagua kua maprofesa nyie endeleen kusomea sheria sis uku tunachangamkia fulsa

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
pesa imesinyaa lakini siyo kwa kiasi tunachoaminishwa,fedha ipo na watu wanatumia fedha,na hata hela iliyotumika yote ipo kwenye miradi mikubwa ambayo mingi ishaaanza kurudisha fedha na mingine soon itaanza kutoa fedha katika kipindi kifupi kama Air tanzania,stiglor gorge n.k
Ulishawahi kuyaona mahesabu ya air Tanzania?
 
Ccm waache siasa za kuedit tunataka uhalisia ndio maana hata picha za mgombea wao wa urais wameziedit anaonekana ni mweupe wakati ni mweusi tu kama mimi.
 
Back
Top Bottom