minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Walichukua pesa za wamiliki wa maduka ya kubadili fedha za kigeni kienyeji kwa njia haramu za kishetani kisha kuwatisha kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi, pesa yote imepigwa kijanja na wanaccm, CCM ni ile ile ukoo wa panyaUjinga gani? ilihali kila kukicha naona masoko yanapanuka kwa wingi wa wafanyabiashara.
Kwamba mtu akifunga bishara chanzo Ni Magufuli?wacheni maneno ya kuokoteza vijiweni