Poleni walimu

Mnastar jr

Member
Dec 29, 2016
99
53
hivi kweli mtoto kama huyu unamfanyaje ili awe sawa na wenzake?
76c176abe58ebb5a6b868fc0f124d732.jpg
 
Kibaya zaidi watoto haohao wenye IQ za hivyo ndio watovu wa discipline, kwa hiyo hawasaidiki ,wangekuwa wanakosea kwa sababu nyingine sawa lakini indiscipline inayotokana na dunia ya utandawazi unaosababisha watoto nao wanataka kukimbia sawa nayo kupita hata spidi ya kuelimika kwao!
uko sahihi mkuu
 
ngoja system ya kuishia la sita ifike,
hata kuandika maandishi yenyewe watakua wanashindwa
 
Back
Top Bottom