Pole sana Tanganyika

Njie jamaa kwakupenda kuihusisha dini yan mnaboa kinoma kwataarifa tu marekani na Israel hawajawai kupigana kisa dini wao ni uchumi na nakumega maeneo huyo netanyau mwenyewe ni atheist, Iran haipigwi kisa dini yake pale ni maslahi tu ndomana saudia, Bahrain, Egypt, nirafiki wa marekani hatakama ni waislam
 
1. Sio wakristo wote wanashabikia huu ujinga, wapo wanaoona 🇺🇸 na 🇮🇱 ni magaidi na wauwaji wakubwa tu.

2. Waisraeli hawawakilishi ukristo, kwanza wengi sio wakristo na hawatambui kwamba huyo Yesu aliwahi kuja, kuzaliwa, kuishi duniani, kufa na kufufuka hadi kupaa mbinguni. Wengi wao hawaamini haya, check your records mkuu.

3. Nimeishi Unguja, ukweli elimu ya wazanzibari wengi ni ya kuungaunga, mfano mzuri ni huyo aliyepo madarakani, hata yeye alikiri. Huwezi kuilingsnisha Zanzibar yenye mamlaka kamili na Kilimanjaro ambayo ni sehemu ndogo sana ndani ya mamlaka, hata mgawanyo wa rasilimali hauendani kati ya maeneo haya.

4. Pombe kwa mkristo, sigara mbona huisemei, yenyewe haina athari kwa afya ya mtumiaji, iweje sigara ihalalishwe wakati ina madhara kiafya? Kama kuna wakristo wanasema kunywa ila usilewe maana yake, usije ukavuka uelewa wako ukafanya yasiyofaa, ndiyo dhana..ila kiafya pombe na sigara zote zina athari.

5. Tatizo hujasoma ukaelimika, unauangalia ukristo kwenye angle moja ya ukatoliki, wapo wakristo viongozi wanaoa na kuzaliana kama kawaida. Kama lipo dhwhebu moja linafanya hayo, that's not for everyone.

Reasoning kama ulivyoisema, ni kwa jamii nzima ya watanzania, tuna hilo tatizo.
 
Tanganyika union with Zanzibar is, in the annals of nation states formation, the most retarded decision of all.🥺🥺🥺😭
 
Hakuna watu wa ovyo kama wakosoa imani za wengine hapa JF | Page 10 | JamiiForums Hakuna watu wa ovyo kama wakosoa imani za wengine hapa JF
 
Lastborn.

Kila kitu Zanzibar ana upendeleo.
Umeme unatokea TZ bara ila ukifika kule unauzwa bei ya chini kuliko sehem inayotoka. Ni maajabu.
Alafu life iko expensive like fvck hadi juzi kuna jukwaa la watalii nimeona wanavyoiponda mbaya kwa last born kuwa you pay more for nothing umeme unakata kata , running costs kibao
 
Stolen sovereignty ? It wasn't.

It was surrendered sovereignty

We gave it away.🥺😭😭
 
A stolen sovereignty.. Hakuna marefu yasiyo na ncha

Bei ya mafuta Zanzibar leo
Zanzibar Ina mamlaka yake ya usimamizi wa maji na nishati (ZURA) , hiyo ndio hupanga bei za huduma hizo kama ilivyo ewura, pia ZNZ Ina hifadhi ya mafuta yake na bandari yake ya mafuta. Kwa hiyo Bado mafuta wanayo mengi na watumizi sio wengi.
 
Kuna vitu umeandika kama akili zako zimehama vile, unawezaje kulinganisha Zanzibar ambayo inajitegemea kama nchi na mkoa kama kagera, ilhali unajua mkoa unapata mgao wa pesa toka serkali kuu ??
Matako yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…