Pole sana Mzee Mwanakijiji, pole sana ndugu yangu!

Pole sana Mzee Mwanakijiji, pole sana ndugu yangu!

Azizi Mussa

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2012
Posts
9,198
Reaction score
7,539
Salam zangu zikufikie kokote ulipo, mzee wangu mwana wa kijiji,
Umekuwa ukijitahidi sana kutumia akili, ujuzi maarifa na vipaji vyote alivyokujalia mola wako mtukufu ili kuleta mabadiliko ya kimitizamo, kifikra,kiuchumi, kisiasa na kijamii.Pole sana mzee mwanakijiji!

Kwa bahati mbaya wale ambao umekuwa ukiwashauri wakati wote, si watu ambao wanataka hoja bali.....!

Pole sana mzee wangu!
Hata hivyo kinachonifikirisha, kunisikitisha na pengine kunifanya niwe mnyonge zaidi: nipale ninapojiuliza kwamba ni nini kilichokufanya ukawie namna hii kuelewa kwamba hawataki hoja na hivyo hawataki kuulizwa maswali achilia mbali kuyajibu!

Any way! nafikiri kinachokustahili ni kukupa pole tu ndugu yangu, ila bilsha shaka sasa utakuwa umejifunza jambo moja kubwa ambalo naamini hapo kabla ulikukuwa haujalijua au kulitilia manani.Hata hivyo sikulaumu kwa kuwa kila siku binadamu ni kiumbe wa kujifunza!

Niwatakie kila la heri wote hasa mzee wangu na wazee wengine wenye ndoto kama za mzee wetu huyu.
 
hhfsdbffxjAjzkg ggnbhfankgsvnjfbgxgzfv yvfsndfcn jfdzbgbhy vvzbhh

hali ndio ilikuwa hivyo jijini DAR leo asbh mpk lovable akaruhusu maandamano ya UKAWA kwenda tume ya Uchaguzi (NEC)
 
Mleta mada tulia sindano ikuingie maana wewe unajifanyaga ni mchambuzi sana wa siasa za Bongo kumbe unaongozwa na njaa na unafiki mkubwa sana,tumia muda wako kuishauri ACT sio Ukawa wala Chadema. Safari hii utaelewa tuu.
 
1. namlilia rais wetu wa moyoni tuliyeaminishwa kwa takriban miaka 5 iliyopita
2. usiponiheshimu mimi, utaheshimu pesa yangu.
 
Hakika mwaka wa miujiza....ni mwaka 2015.

CCM mlizoea kudanganya...kwa miaka 54..sasa mwisho umefika....

vipofu wanaona.....

viziwi wanasikia....

viwete wanatembea....

wajinga na wapumbavu wooote wamekuwa werevu..kila mtu atapiga kura...


mwaka huu hata washirikina wataandamana kupiga kura za haki.

Hakika...Tanzania inazaliwa upya...asie amini asubiri october 25.

MUNGU IBARIKI TANZANIA...



MUNGU MBARIKI LOWASSA.....
 
Back
Top Bottom