Duhha ha ha ha kuna kitabu kimoja (holy scriptures) katika ukurasa wake,kinaelezea watu weusi wamelaaniwa....
Mdigo mkuuMkuu samahani kidogo niulize swali uyo mama ni kabila gani kwanza mana nimeshangaa sana
Mdigo mkuu
Mtoa mada kama una vijisenti kidogo msaidie huyo mama yenu ambaye aliwalea wakati wadogo na Mungu atakulipa sana. Malezi, mafunzo na uangalizi alioufanya pindi mkiwa wadogo ni makubwa sana kuliko hata ada ya Chuo kikuu na yeye aliyafanya bure tu. Ukikua utanielewa
Kumbe kuwa black ni mikosi.
Hahaha sijui alikuwa analiwa na house boy kimya kimya ---house boy akampachika mimba -ila bimkubwa akashindwa kujua kuwa Mimba sio ya mumewe akailea Baada ya Kuja kuzaa mtoto aka muumbuaHaaaaaH the more the black the more the mikosi!! dunia ina mambo sana. Sasa mkosi kakutana nao live
Humu ndani wengi watakuwa na mikosi kama mshua wako. Kwa hyo tuvumiliane tu
ha ha ha ha kuna kitabu kimoja (holy scriptures) katika ukurasa wake,kinaelezea watu weusi wamelaaniwa....
Mkuu kabla hilo sishangai wanapenda sana waarabu hata mimi nilishawahi kukutana na ka bint ka kidogo tatizo wana penda sana kuzaa watoto wa rangi rangi nywele ndefu basi hapo ndio wao wanajiona wa maana.Mdigo mkuu
Na wahayaKumbe ndio maana wanyakyusa wanajichubua....sasa nimejua
Wa kwenu wanakituliza?Bika shaka hawa watakua ni wale ndugu zetu waumini wa dini ileee maana wao wanawake hata wakiachika hawawezi kukituliza lazima watafute wakuaoa tena kwa mara ingine...