evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,996
- 5,181
Mkuu Huyo polepole wa mabasi sio Humphrey huyo wa ccm, huyu jamaa polepole anaitwa Massawe anaishi Kata ya Babati mjini mtaa Nyunguu amewekeza sana Babati ana truck za mizigo za kutosha,
Ana maduka ya vifaa vya umeme na phone's accessories makubwa tu yapo Babati mjini
Lakini pia amewekeza kwenye Mali zisizohamishika (ana nyumba maeneo mbalimbali amepangisha kwa watu nyumba za kuishi lakini pia ana guest houses za kutosha kwa Babati zimeandikwa Pole lodge utakuta Pole 'A' Pole 'B'n.k)
Na pia hizo buses zinapiga routes za Arusha-Moshi- Nairobi zikitokea Babati lakini pia Dodoma na Singida to Dar zikitokea Babati
huyu jamaa namfaham sio mkubwa kivile anaeza kuwa kwenye 40's alikuwa anatumia gari ndogo kutembelea Suzuki vitara black in colour miaka ya 2000's sijui kama kabadilisha now ILA sio pole pole wa CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana maduka ya vifaa vya umeme na phone's accessories makubwa tu yapo Babati mjini
Lakini pia amewekeza kwenye Mali zisizohamishika (ana nyumba maeneo mbalimbali amepangisha kwa watu nyumba za kuishi lakini pia ana guest houses za kutosha kwa Babati zimeandikwa Pole lodge utakuta Pole 'A' Pole 'B'n.k)
Na pia hizo buses zinapiga routes za Arusha-Moshi- Nairobi zikitokea Babati lakini pia Dodoma na Singida to Dar zikitokea Babati
huyu jamaa namfaham sio mkubwa kivile anaeza kuwa kwenye 40's alikuwa anatumia gari ndogo kutembelea Suzuki vitara black in colour miaka ya 2000's sijui kama kabadilisha now ILA sio pole pole wa CCM
Sent using Jamii Forums mobile app