Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,438
- 3,951
acha TU..uliza kiatu
Mpe Hi fundi Michael
Niandikie haya maneno kwenye simu yangu sms ili nikurushie iyo hela 😛Baby naomba 50000/ nikasuke..tuma na yakutolea😎!
Bby nimejikuta sijableed nitumie laki 2/ niflash🤒
Bby next week ni bdy yangu nifanyie sherehe...mbaafu
Love wangu.. Najiskia kumiss period!yaan hapa nimedata. Sijui itakuwaje .kina rafikiyangu kanieleza kuna dawa zinatoa...znauzwa laki 1..nitimie sasa hv na ya kutolea..alafu luku imeisha!😎Niandikie haya maneno kwenye simu yangu sms ili nikurushie iyo hela 😛
Nilikwambia utume kwenye sms ya simu sio hapa tumia ile laini yako ya airtel au voda maana ndio inapatikana sana 😎Love wangu.. Najiskia kumiss period!yaan hapa nimedata. Sijui itakuwaje .kina rafikiyangu kanieleza kuna dawa zinatoa...znauzwa laki 1..nitimie sasa hv na ya kutolea..alafu luku imeisha!😎
Nilikwambia utume kwenye sms ya simu sio hapa tumia ile laini yako ya airtel au voda maana ndio inapatikana sana 😎