Mlingwa
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 381
- 58
Mhe. President wa Tanzania; leo nimekusikia kupitia ITV, naomba ninukuu......"kwakuwa tumeimaliza malaria huko Zanzibar, ni bora tukaimaliza na huku bara maana mtu anaweza kwenda Zanzibar kutoka bara akiwa na Malaria na hivyo kuipeleka Zanzibar..." Sipendi kuendelea kunukuu.
Point of Correction:
1. Malaria haisambazwi na binadamu ila aina furani ya mbu, natumai wadau mnaelewa, hivyo kama hakuna mbu hao hata kama ukilala bila chandarau hakuna atakayepata malaria.
2. Walichoweza ama kufanikiwa Zanzibar ni kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi pamoja na mazalio ya Mbu hawa hivyo kupunguza kwa kiasi kikubwa kiwango cha Maambukizi ya Malaria, japo tafiti zinazoendela zinaonyesha kuanza kuzaliana tena kwa mbu hasa maeneo ya pemba na baadhi ya maeneo ya Unguja.
Nawasilisha.
Point of Correction:
1. Malaria haisambazwi na binadamu ila aina furani ya mbu, natumai wadau mnaelewa, hivyo kama hakuna mbu hao hata kama ukilala bila chandarau hakuna atakayepata malaria.
2. Walichoweza ama kufanikiwa Zanzibar ni kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi pamoja na mazalio ya Mbu hawa hivyo kupunguza kwa kiasi kikubwa kiwango cha Maambukizi ya Malaria, japo tafiti zinazoendela zinaonyesha kuanza kuzaliana tena kwa mbu hasa maeneo ya pemba na baadhi ya maeneo ya Unguja.
Nawasilisha.