PM Mwigulu ndani ya Manyoni leo 30/05/2026

PM Mwigulu ndani ya Manyoni leo 30/05/2026

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
594
Reaction score
548
Hello Singida

Leo ni Manyoni

Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

📆 30 Mei, 2026.
🕰️ 5:30 Asubuhi.

Lengo la Ziara:
▫️ Kukagua mradi wa maji wa mji 28, Manyoni Mwanzi.
▫️ Kukagua mradi wa mnyororo wa thamani wa korosho wa Kiwanda cha CARMATEC - Manyoni Masigati.

▫️Mkutano wa Hadhara
20260530_114924.jpg
- Tambukareli.
 
Tengenezeni mifumo na sio watu. Kwanini analazimika kuzurula kwaa migogoro ambayo takukuru, polisi, waakuu wawilaya MIKOA n.k wangeweza kuitatua?

Mifumo haisomani?
 
Back
Top Bottom