Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,184
- 6,546
Kuna watu wanahama Kila mwaka Kwa malipo, ni kuwa tayari kuchukua nusu malipo na nusu umwachie mhamishaji.
Hii nchi na ufisadi ni Pete na kidole 🙌🙌Kuna watu wanahama Kila mwaka Kwa malipo, ni kuwa tayari kuchukua nusu malipo na nusu umwachie mhamishaji.
Makelele bila vitendo, hata ripoti ya CAG alianika wizi mpaka leo mmeikalia tuu!.
Kwahiyo ni muongo hakuna wezi?Magufuli yuko ofisini anachapa kazi anawasalimia wakati yupo.............................................
Msimuamini huyu
Sehemu yenye hela mojawapo ni hiyo,uhamisho una hela sana.Tafuta vichwa vitano kila mwezi,ukifanya hivyo mwaka mzima,hukosi hela ya gari na nyumba.Kuna watu wanahama Kila mwaka Kwa malipo, ni kuwa tayari kuchukua nusu malipo na nusu umwachie mhamishaji.
hata hatuhitaji kuambiwa tumegundua, kutuambia sisi hivyo ni kutaka kupata credit toka kwetu kwa wajibu ulio wa kwako. tunachotakiwa kusikia ni kwamba watu wamekamatwa wapo lupango kesi inaendelea basi. tumewakabidhi nchi, watu wanaiba ninyi mpo halafu unakuja kulalamika kwetu kwamba mmegundua mnaibiwa? achia ngazi basi.Akiwa mkoani Mara Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kuna Wizi mkubwa sana unafanywa na kakikundi ka Watu Wachache pale TAMISEMI wakishirikiana na Watendaji wa kwenye Halmashauri
Wezi hao tumewabaini na hatua zimeanza kuchukuliwa, amesema mh Majaliwa
Si hao hao waliosema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake?Akiwa mkoani Mara Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kuna Wizi mkubwa sana unafanywa na kakikundi ka Watu Wachache pale TAMISEMI wakishirikiana na Watendaji wa kwenye Halmashauri
Wezi hao tumewabaini na hatua zimeanza kuchukuliwa, amesema mh Majaliwa
Eeehhhh....Akiwa mkoani Mara Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kuna Wizi mkubwa sana unafanywa na kakikundi ka Watu Wachache pale TAMISEMI wakishirikiana na Watendaji wa kwenye Halmashauri
Wezi hao tumewabaini na hatua zimeanza kuchukuliwa, amesema mh Majaliwa
Aaghh wapi, sio kweli, attention seekers Tu haoAkiwa mkoani Mara Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kuna Wizi mkubwa sana unafanywa na kakikundi ka Watu Wachache pale TAMISEMI wakishirikiana na Watendaji wa kwenye Halmashauri
Wezi hao tumewabaini na hatua zimeanza kuchukuliwa, amesema mh Majaliwa
Mkwe WA SamiaWaziri wa tamisemi awajibike kwa kujiudhuru kwanza
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Hadi Mkulu anagundua hilo, wapi Waziri mwenye dhamana ya hiyo Wizara na hatua gani alichukua kuhusu sakata hilo. CAG kalmba sana wimbo huu lakini wakulu wanakula kobosi Tu.Akiwa mkoani Mara Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kuna Wizi mkubwa sana unafanywa na kakikundi ka Watu Wachache pale TAMISEMI wakishirikiana na Watendaji wa kwenye Halmashauri
Wezi hao tumewabaini na hatua zimeanza kuchukuliwa, amesema mh Majaliwa
Linakaribia sana kutokea, si mbali na hapa tulipoKuna jambo fulani langojewa litokee ndo tutaiona taa ya nuru mbele yetu.
Fedha zimekwisha Serikalini leo ndio umegundua?Akiwa mkoani Mara Waziri mkuu mh Majaliwa amesema kuna Wizi mkubwa sana unafanywa na kakikundi ka Watu Wachache pale TAMISEMI wakishirikiana na Watendaji wa kwenye Halmashauri
Wezi hao tumewabaini na hatua zimeanza kuchukuliwa, amesema mh Majaliwa
Kaburi' ndiyo nini we Malaya!!..kauli,kauri ni vyombo vya udongo,shule mnafundishwa nini siku hizi ikiwa kuandika lugha yenu ni shida!?Hii kauri ya kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake itaimaliza nchi.
Sasa hapa Changamoto inakuwa pale ambapo hako kamtandao watakuta kamewahusisha wakubwa! Hutasikia wakikamatwa!
Mkuu wengine hatuna tabia za kutukanana! Ingetosha kunisahihisha bila kutukana.Kaburi' ndiyo nini we Malaya!!..kauli,kauri ni vyombo vya udongo,shule mnafundishwa nini siku hizi ikiwa kuandika lugha yenu ni shida!?