na password?Huyo charminglady anayezungumziwa si huyu dada yako...
hivi unajua wamemwibia laptop, tena aliyeiba hiyo laptop ni mdogo wa kike wa Bishanga eti alidhani ni kile kibao cha jikoni cha kukatia nyanya na vitunguu.
sii six hivi charminglady alikuwa na maana gani kunirushia hii PM,nikufowadie?!bishanga peleka huu uzi kule kwenye mmu utapata ushauri nasaha unaohitaji, hehehehehheeeeeeeee
unaparamia msitu kwa kiwembe sio?
sii six hivi charminglady alikuwa na maana gani kunirushia hii PM,nikufowadie?
Hahaha, toa talaka! Mbona hujaweka PM yako ulomjibu charminglady?hayakuhuu!
unataka hiyo mimba tukuhamishie?...sema kijana maana hiyo shughuli ni rahisi tu...tena ngoja nimpigie simu Mzee Mwakizaro wa kule Duga afanye hii shughuli sasa hivi...
anawazengua na hiyo mimba feki,nasikia ni ya maombi,haikui
ndugu wapendwa,naomba ushauri,kwenye inbox yangu nimekuta hii PM:
ankali bishanga,shikamoo.
Mala baada ya saramu naomba nifunguke,kusema kweli ankali nimekuzimikia sana,achana hao wazushi kina @C6,kwanza bado wanavaa kaptura na ni masakapoko.Ankali sema utakacho nitakupa ili mradi niwe hawara yako.
Wako katika rindi la mahaba.
charminglady
nimjibuje wakuu ukizingatia mtoto mwenyewe yuko la saba mbuyuni praimari.
na password?