Hivi hawa watu wanaoleta matangazo madogo madogo humu JF wataelimika lini jamani?????
Yaani unasoma tangazo unaachwa na maswali kumi kidogo!!!!
1.0 Salasala ipo wapi????
2.0 Kiwanja hicho kimepimwa au kina hati. Je kilishawahi kuuzwa kabla ya tangazo hili???
3.0 Kipo wapi toka hapo Salasala.
4.0 Vipi kuhusu mambo kam umeme, na huduma za jamii katika eneo kiwanja kilipo???
.......
Halafu hizi bei sasa kama wote ni mafisadi ila kwa hilo la (bei natania tu.)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.