Mbona hapo Prof. Tibaijuka kwa kushirikiana na Diwani wa Sinza waliweka kibao cha kuonyesha kuwa ni open space garage inatakiwa ivunjwe au umeshawatuliza wahusika?
Mbona hapo Prof. Tibaijuka kwa kushirikiana na Diwani wa Sinza waliweka kibao cha kuonyesha kuwa ni open space garage inatakiwa ivunjwe au umeshawatuliza wahusika?
Kuna plots hasa Sinza Prof Tibaijuka anasema zina hati ila kwa mujibu wa ramani halisi ni open spaces.