Nsemwas Junior
Senior Member
- Oct 23, 2009
- 173
- 60
Habari wana JF.
Tunauza nyumba yetu iko Sinza E,nyuma ya Lion hotel, Dar es salaam kwa Sh 82,000,000.Nyumba ina vyumba 4 vya kulala,kimoja kati ya hivyo ni master bedroom.
Ukubwa wa eneo ni square meter 250,parking ya gari ipo na nyuma ya nyumba kuna nafasi ya kutosha.Nyumba ina hati na umeme na maji vipo.Ni nzima inahitaji maboresho kidogo tu.
Mazungumzo ktk bei yapo.Mawasiliano 0714-796778 au WhatsApp 0628-615685.PICHA ZA NYUMBA njoo Whatsapp au nitumie email yako kwenye SMS nitakutumia.
KUTOKANA NA SHUGHULI ZANGU NYINGI SITAWEZA KUJIBU KILA COMMENT HAPA,TAFADHALI NITAFUTE KWENYE SIMU
Tunauza nyumba yetu iko Sinza E,nyuma ya Lion hotel, Dar es salaam kwa Sh 82,000,000.Nyumba ina vyumba 4 vya kulala,kimoja kati ya hivyo ni master bedroom.
Ukubwa wa eneo ni square meter 250,parking ya gari ipo na nyuma ya nyumba kuna nafasi ya kutosha.Nyumba ina hati na umeme na maji vipo.Ni nzima inahitaji maboresho kidogo tu.
Mazungumzo ktk bei yapo.Mawasiliano 0714-796778 au WhatsApp 0628-615685.PICHA ZA NYUMBA njoo Whatsapp au nitumie email yako kwenye SMS nitakutumia.
KUTOKANA NA SHUGHULI ZANGU NYINGI SITAWEZA KUJIBU KILA COMMENT HAPA,TAFADHALI NITAFUTE KWENYE SIMU