Wakuu...
habari za wikiend? kuna mdau mmoja anataka kuwekeza hapa Dar es Salaa, anatafuta plot iliyoko maeneo ya ufukweni kwa ajili ya kufungua PUB na Restaurant... ikiwa na ukubwa wa 100m x 50m itafaa sana na itatosha....
iwe mahari ambapo kuna na mkusanyiko mkubwa wa mzunguko wa watu..
kama una mahali au umesikia kuna hiyo Plot wasiliana na mimi. Frank Manyanza- 0712 800 616