Plot for sale Tabata kinyerezi mwisho

Plot for sale Tabata kinyerezi mwisho

Dalali wa Mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
1,074
Reaction score
1,564
Habari wakuu matajiri.

Kiwanja kinauzwa milion 13 kipo kinyerezi mtaa wa dkt joseph kutoka kinyererezi hadi kwenye kiwanja ni bajaji moja ambayo ni 500 kutoka stendi ya bajaji adi eneo la kiwanja kwa pikipiki ni buku, kama una gari binafsi inafika hadi kwenye kiwanja na kwa mguu ni mwendo wa dakika 10 tu.

Kiwanja kina muondo wa pembe tatu, hivyo basi kiwanja kwa upande wa chini kina m 21, upande wa kulia m 34,upande wa kushoto m 24 na upande wa juu m 4. 16

kiwanja kinahuduma zote ukiwemo umeme, maji, masoko, barabara, usafiri masaa 24 hadi majirani wapo wengi maana ni sehemu ya mji

kiwanja hakipo bondeni kipo juu sehemu ambao atakuwe na mvua vipi haitaleta matatizo.

Hati ni serikali ya mtaa
 
Kutoka kinyerezi stand mpk hapo kiwanjani Ni umbali gani boss?
 
Nafkiri kwenye hizo sqm ulimaanisha meters si ndio mkuu?
 
Hivi mpaka leo bado tu kinyerezi mnaiita tabata, hizo ni kata mbili tofauti zinazo jitegemea, tabata inaishia segerea kwa mbele pale kwenye kiroundabout
 
Back
Top Bottom