Please naombeni msaada

Please naombeni msaada

CHOVELA

Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
37
Reaction score
6
Wadau natumia Blackberry 8520 na nimekuwa nikitumia app ya Jamii Forum kwa muda mrefu bila matatizo yeyote ila ni kama wiki sasa inagoma kabisa, nimejaribu kuitoa na kuidownload tena lakini mambo ni yaleyale. Lakini niki-log in kwa kupitia kwenye Computer kunakuwa hakuna tatizo lolote. Please kwa anaefahamu ufumbuzi wa hili naomba anisaidie maana naona kama napitwa na mengi.
 
Wadau natumia Blackberry 8520 na nimekuwa nikitumia app ya Jamii Forum kwa kipindi kirefu bila tatis=zo lolote ila ni kama toka wiki iliyopita inanigomea kabisa. Niki-log in kwa kupitia kwenye Computer haileti tatizo lolote ni kwenye simu tu. Nimejaribu kui-uninstall na kudownload nyingine lakini bado tatizo limeendelea. Please anaejua ufumbuzi wa hili naomba anisaidie maana naona napitwa na mengi.
 
Back
Top Bottom