jaman wana jf mimi nimehitimu homec sua mwaka jana bado sijapata kazi, ombi langu kwenu, naomba mniambie niandikeje cv na cover letter ili iwe considered, pia naomba atakae penda na kuguswa nimpe cv yangu private anisaidie pia, kwasasas nipo kilimanjaro nina family problem siwezi kufuatilia kazi peke yangu.