Platnum Credit wanidhulumu

Mkuu inamaana shida haijawai kukupata eee.

Ni vyema usikocomment chochote

Wee toa ushauri afanye nini ili apate balance alipe malizananye ,lin sio kumlaumu
 
Mkuu Ni mbaya sana kukimbilia kucoment bila kusoma na kuelewa hoja,hebu soma hoja kwa umakini then ulinganishe na ulichoandika hapa
Nchi hii ni mgumu Sana

Ndio kwa aina ya watu tulionao and

And hawa ndio wanalalamika hakuna kazi
Kama ndio thinking capacity yao.
 
Watumishi wengi wa serikali ni wajinga sana ni wajinga kupitiliza waendelee kunyonywa tu kwani walienda chuoni kusomea upumbavu na kupewa vyeti.
Nikiona na kusikia sijui mwalimu kaweka milioni 6 Qnet ata sishituki kwani wajinga ndio waliwao.

Kampuni zipo kutafuta pesa sio kutoa msaada, unahitaji kutumia akili ukienda kuomba mkopo wa miezi mitatu kwa nini ukubali kusaini mkataba wa miaka 8 urudishe jumla ya milioni 3 kwa mkopo wa laki 6??? Jipige kifua mara 7 sema serikali imeajiri mpumbavu!!
 
Hawa jamaa wana riba kubwa sana yaani fikiria hiyo laki sita niliyokopa inatakiwa nilipe milioni tatu kwa muda wa miaka nane
Je ulitambua kabla ya kuchukua fedha yao?

Je ulisoma mkataba uliosaini? Na muda wa rejesho uliafiki kuwa ni miaka mitatu na sio miezi 6 wala miezi mitatu?
 
Sasa nimekuja kwenu kuomba ushauri na mwongozo nifanye nini ili nipate balance yangu niwalipe nimalizane nao, kuna muda nawaza niende polisi maybe nitapata msaada.
Sio polisi, Nenda mahakamani.

Msaada wa kisheria ndio unatakiwa zaidi hapo.

Tafuta mwanasheria, na swala litaisha vyema
 
Wasenge hao kila sku walikuwa wananipigia et nikachukue mkopo Kwa dhamana ya Kadi ya gari , kuna mdada yaani kila mara ananipigia , nikawa namdanganya Niko mkoa , akaendelea kunisumbua mwisho nikamwambia Kwa sasa sina gari ndio akaniacha
 
Kwani wewe ulikopa kiasi gani? Na mlikubaliana baada ya miezi mitatu uwalipe kiasi gani? Na mlikubaliana mode of payment ni kupitia akaunti gani ya benki?

 
Waandikie demand letter yakutaka kuwapeleka mahakamani

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Mkuu naomba maelekezo zaidi juu ya hii demand letter, naandikaje? Yaani nafungua kesi mahakamani au naanza kuwaandikia wao kwanza juu ya nia yangu ya kuwaburuza mahakamani?
 
Nenda makao makuu yao,mshirikishe na afisa utumishi wako yeye ana uwezo wa kusitisha makato.
 
Wasenge hao kila sku walikuwa wananipigia et nikachukue mkopo Kwa dhamana ya Kadi ya gari , kuna mdada yaani kila mara ananipigia , nikawa namdanganya Niko mkoa , akaendelea kunisumbua mwisho nikamwambia Kwa sasa sina gari ndio akaniacha
Hao alitakiwa kuwakomalia haswa. Na yeye kwa nini uchukue mkopo wa laki 6 halafu ukubaliane kulipa kwa miaka 8? Alikuwa anatakiwa kurejesha sh. Ngapi kwa mwezi? Labda eje na ufafanuzi zaidi, labda alimaanisha miezi 8.
 
Hao jamaa hawafai hata mm waliwahi kunifanya nikaishi maisha ya kichokoraa miaka mitano na ukitaka kuwalipa hawakupi balance niliwatisha mahakamani ndyo wakanipa balance tukamalizana
 
Hao jamaa hawafai hata mm waliwahi kunifanya nikaishi maisha ya kichokoraa miaka mitano na ukitaka kuwalipa hawakupi balance niliwatisha mahakamani ndyo wakanipa balance tukamalizana
Wanazingua Sana asee
 
Platinum, Bayport, Muhele, Credit nini sijui na wengineo wote ni wauwajiii...!
 
hahaaa duh
 
Yaani tumepiga kelele weee! Lakini bado kuna watu wanatuzunguka, na kwenda kukopa tena kwenye hizo taasisi katili za kifedha!!!
Naanza kuona kuwa vikao vyetu kuna watu hawavitilii maanani sababu tushasema sana alafu leo mtu anakuja kulalamika kama sio kutaka tumfute kwenye vikao vyetu ni nini
 
Bora nmekuta huu Uzi,na mm yamenikuta kwa Bayport,nmeomba salio kwao tangu Dec,wakaniahidi nisubiri cku 30 za kazi ambapo tyr zimetimia lkn balance hawataki kutoa,wanasema tu ikiwa tyr ntatumiwa,nafikiria kumpa mwanasheria Dili tupige hela,naomba ushauri wa mawazo.
 
Hawa jamaa ni wezi wa kimacho macho na wahuni sana nashauri msikope hizi kampuni
 
Laki sita kwa milioni 8?
Epuka BAYPORT NA PLAT8NUM KAMA UKOMA.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…