Planning ya mji wa Dodoma ni mbovu, mji unaendelezwa zaidi kuelekea upande mmoja wa barabara ya Dodoma kwenda Dar es Salaam

Iko hivi

Hapatakuwa na msongamano, kwanini...

1. zinajengwa ringroad TATU, ya kwanza imeanzia Martin Luther ya pili iko mbele ya soko na.uwanja na ya tatu iko mbele zaid kule mji wa serikal na bado kuna brabara nyingi ambazo zinaingia na kutoka...

mfano ukitokea nala na unaenda stand kuu utakuwa huna haja ya kupiya katikati ya huu mji wa sasa (baadae tutauita mji wa zaman) bali utapita hukohuko nje ya mji either kulia kama unaitafuta iringa road au kushoto kama unaitafuta arusha road na utatokea stand,

mabarabara ni mengi kiasi hata ukitoka airopt kubwa (inayojengwa) utakuwa na uwezo wa kupita juuu kwa juu na ukatokea Stand ya SGR... huu msongamano mnao uwaza hautakuwepo

upande wa singida road kuna taasisi nyingi kama za elimu na mashirika yamejielekeza huko, iringa road pia na arusha road kuna uwanja mkubwa wa ndege na future plan kubwa
 
Tatizo barabara ya Dodoma Arusha watu wanaona Ardhi Kama almasii wasumbufu na Bei zao za ajabu ajabu kama ardhi wanaona ni pilau wale wenyewe.Hata Mimi najenga dar es salaam road.Huko Arusha road kajengeni wachaga
 
Hata Dsm stendi zilianzia Mnazi mmoja, Kisutu na Kariakoo baadaye zikaja ubungo sasa zinahamishiwa Kibamba ni jambo la kawaida sana!
Hupo sahihi, lakini kwanini uwezo wetu wa kufikiri unaishia kipindi cha miaka mitano mitano ama ikizidi kumi tu? Kwanini tusiwe na uwezo wa kufikiria zaidi ya miaka 50 ama 100 mbele? Je kwa unavyosema, what will be next after Kibamba? Kibaha ama Chalinze?
Mtazamo wangu ni kwamba tuache kufikiri kimsimu msimu ama kiuchaguzi chaguzi. Tuwe na Malengo marefu
 
Hupo sahihi, lakini kwanini uwezo wetu wa kufikiri unaishia kipindi cha miaka mitano mitano ama ikizidi kumi tu? Kwanini tusiwe na uwezo wa kufikiria zaidi ya miaka 50 ama 100 mbele? Je kwa unavyosema, what will be next after Kibamba? Kibaha ama Chalinze?
Mtazamo wangu ni kwamba tuache kufikiri kimsimu msimu ama kiuchaguzi chaguzi. Tuwe na Malengo marefu
Baadae hakutakuwa na haja ya stendi tutatumia Treni ndio maana stesheni huwa haziamishi.
 
Nadhani muda sio mrefu itahitajika barabara4 pengine kutoka pale nzuguni juu/st.peter clever mpaka ije kuungana na round about ya bohari/dom sec kwakua hio njia itakua na foleni balaa
Hata naivyo asubuhi na jioni kuna folen balaa had njia panda ya kisasa
 
Iko hivi

Hapatakuwa na msongamano, kwanini...

1. zinajengwa ringroad TATU, ya kwanza imeanzia Martin Luther ya pili iko mbele ya soko na.uwanja na ya tatu iko mbele zaid kule mji wa serikal na bado kuna brabara nyingi ambazo zinaingia na kutoka...

mfano ukitokea nala na unaenda stand kuu utakuwa huna haja ya kupiya katikati ya huu mji wa sasa (baadae tutauita mji wa zaman) bali utapita hukohuko nje ya mji either kulia kama unaitafuta iringa road au kushoto kama unaitafuta arusha road na utatokea stand,

mabarabara ni mengi kiasi hata ukitoka airopt kubwa (inayojengwa) utakuwa na uwezo wa kupita juuu kwa juu na ukatokea Stand ya SGR... huu msongamano mnao uwaza hautakuwepo

upande wa singida road kuna taasisi nyingi kama za elimu na mashirika yamejielekeza huko, iringa road pia na arusha road kuna uwanja mkubwa wa ndege na future plan kubwa
Hilo la ring roads ku-control msongamano wa magari hata mimi nimeliongelea kama umesoma vizuri nilichoandika.Hoja yanga hapa ni mambo mengine ambayo ni muhumi kiuchumi na kijamii kueleezwa upande mmoja.

Pia usisahau kuwa hata katika maeneo haya niliyoyataja(Mtumba,Ihumwa,n.k) ambako wamepima viwanja, kuna viwanja vya watu kujenga mataasisi,mahoteli,n.k hivyo ni wazi huku kutavutia watu wengi zaidi kuliko hizo pande zingine.
 
Kiwanja kinauzwa NZUGUNI block DD baada ya soko jipya na stand mpya. 660square metres. Njoo PM
 
Mtu kama ndo unaingia Dodoma unatokea Iringa road,Arusha road au Singida road cha kwanza kinachokukalibisha ni slams every where mpaka huwa najiuliza huu ndo mji mkuu kuna ujenzi holela je huko kwingine?
Tzn hapa slums ndio fashion ya nchi yetu hata mnaposemaga eti 80% ya Dodoma imepangwa sijui wamepanga wapi zaidi ya DSM road ni aibu
Watu wa Mbeya wakipanga na kulifanya prime zone eneo la uyole hadi sae yale mashamba ya kilimo itapendeza kuliko hiyo Dom slum
 
Iko hivi

Hapatakuwa na msongamano, kwanini...

1. zinajengwa ringroad TATU, ya kwanza imeanzia Martin Luther ya pili iko mbele ya soko na.uwanja na ya tatu iko mbele zaid kule mji wa serikal na bado kuna brabara nyingi ambazo zinaingia na kutoka...

mfano ukitokea nala na unaenda stand kuu utakuwa huna haja ya kupiya katikati ya huu mji wa sasa (baadae tutauita mji wa zaman) bali utapita hukohuko nje ya mji either kulia kama unaitafuta iringa road au kushoto kama unaitafuta arusha road na utatokea stand,

mabarabara ni mengi kiasi hata ukitoka airopt kubwa (inayojengwa) utakuwa na uwezo wa kupita juuu kwa juu na ukatokea Stand ya SGR... huu msongamano mnao uwaza hautakuwepo

upande wa singida road kuna taasisi nyingi kama za elimu na mashirika yamejielekeza huko, iringa road pia na arusha road kuna uwanja mkubwa wa ndege na future plan kubwa
RING ROAD hazisaidii kitu km hakuna watu, kuna Mji uliitwa Gaberote wa Mobutu Sese seko ulikuwa hauna plan ili uwatosheleze wakazi
anachosema Salary Slip ni ukweli kabisa na mm nitakuwa Shahidi hapahapa jf baada ya miaka mi5 kuanzia sasa patasimama kwani Mji umepelekwa wote Mtumba na Chamwino
  • Watumishi walizoea UDOM na usafiri ulikuwepo wa uhakika, sasa wamehamisha Utawala na mambo km ya fedha yamebaki UDOM
  • Mjini Dodoma kila kitu kimesimama, si nyumba za kupanga wala Guest vyote vimeshuka bei, watu wanahamia hata chumba kimoja Nzuguni ambako ni mashariki mwa Mji wa Dodoma
  • pande za Njia ya singida au Iringa na Arusha hata viwanja vimesimama
Kila siku ni kubadili Master palan kisiasa, ipo ramani enzi za kina George Kahama, ikaacha ikaja ya kina Pascas ikaacha sasa zimepita 2 za Mkurugenzi Kunambi maana mwanzo aliamua Jiji lote na njia zote 4 zipewe wizara mbalimbali, sasa kachagua sehemu moja labda kwa kuona ununuzi au kuhamisha Raia ni gharama, lkn waelewe ni sawa na Dar ofisi zote zipo Magogoni
 
Back
Top Bottom