Ni matatizo ya kuanza kufanya matusi bado watoto na wasichana tofauti. Wewe ushakuwa addicted, kilichobaki mrudie Mungu huwasame wale wajutao na kuchukia dhambi. Mungu ni mwenye rehema atasame. Usiende kuombewa kabla hujatubu na kujutia dhambi, baada ya hapo muite mchungaji uombewe. Ni hayo tu.