Pitia hapa

Ningekuwa Mungu ningebadili umri wa balehe to 25
 
ukifika muda wa kuoa utatulia tuu...sikilizia
 
ushauri kwenye mambo ya kipuuzi!? embu fikiria kazi za kufanya sio upuuzi kama huu! mfyuuuuuuuuuu!

Umeandika kama umek....l..ia kitu alafu kinakuumiza,,,poyeee
 
ushauri kwenye mambo ya kipuuzi!? embu fikiria kazi za kufanya sio upuuzi kama huu! mfyuuuuuuuuuu!

Umeandika kama umek....l..ia kitu alafu kinakuumiza,,,poyeee
 
Girlfrnd unamshindwa unauliza mke je? Kwan mke huanza km nani? au unathan hufikia tu kuwa mke! U need prayers una jini jike wew, ndio anakufanya hayo
 

umemaliza mkuu....
 
Girlfrnd unamshindwa unauliza mke je? Kwan mke huanza km nani? au unathan hufikia tu kuwa mke! U need prayers una jini jike wew, ndio anakufanya hayo
kwa mfano kuliko kuandika ----- ungekaa kimya ungepungukiwa nn/,,daah aya bana
 
Badilika maana umeshajua tatizo lako ni rahisi kubadilika.
Pia jifunze kujali hisia za wengine, imagine wewe ndo uchukuliwe poa namna hiyo...hope hutapenda.
Love your neighbor as love yourself.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…