Pitia hapa



I see. So should he embrace fornication for the sake of gaining experience? Haya ngoja nikae kimya!
 
I see. So should he embrace fornication for the sake of gaining experience? Haya ngoja nikae kimya!

Njia ipi zaidi mtu anaitumia kukua? Embracing is the way, kukataa na kukandamiza ni ubadhirifu....teh
Btw i meant relationship na si fornication
 

Thank alot mkuu umepita mule mule,,,Mungu akubariki for your concern
 
I see. So should he embrace fornication for the sake of gaining experience? Haya ngoja nikae kimya!

Nimemuelewa what she meant,,,it does mean i have to relax but i dnt have to fight it soo hard coz it always happen and when time comes it will go
 
Hili tatizo linawatokea vijana wengi sana na hii yote inasababishwa na makuzi yao na mfumo wa maisha wa vijana kuanzia mtaani mpaka mashuleni..
Hii kitu mie nmekumbana nayo katika njia tofauti ila katika mazingira kama hayo..

Wakati vijana wanapevuka kuna ile kasumba ya kila demu unataka upige so hii inakujengea mazingira ya kisaikorojia kwamba mwanamke ni chombo cha starehe, nakumbuka wakati tupo chuo watu walikuwa wanashindana kuingiza mademu geto hosteli na hawana hata chembe ya upendo ni kupiga tu hata ukimnunulia demu wako zawadi washkaji wanakucheka ooh umekamatwa..

Sasa matokeo yake ndio hayo unapofikia age ya kutaka kufanya maamuzi inakuwa ile kasumba imeshajaa kwenye akili yako...kiburi, dharau,umimi,kutotambua nafasi ya mwanamke na kutotimiza wajibu...Chukua hatua....timiza wajibu na tambua nafasi ya mwanamke.
 
Unajinsia ngapi wewe? Kwasababu hizo tabia na za watu wenye jinsia mbili (Ke+Me).....
 

Thank u mkuu kwa ku-share experience,,i will work on it
 
Unajinsia ngapi wewe? Kwasababu hizo tabia na za watu wenye jinsia mbili (Ke+Me).....

Sidhani kama umelazimishwa kucomment unless upstairs umebeba nazi,,,,kako.....e ukalale tuache watu wazima tujadiliane
 

Asante kwa ushauri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…