Wakuu gharama zipoje kwa wanaorudia paper ya form four Mfano anaetaka kupiga paper mbili au tatu na je cheti cha mara ya kwanza na hiki inakuwaje apo vinaungwa au unakuwa na viwili?
Hapo inategemea sasa kama unatafuta credit moja au mbili au tatu unaunga na za mwanzo una songa mbele ndo inavyokuwa ila ukirudia form two ni cheti kipya hicho
Hapo inategemea sasa kama unatafuta credit moja au mbili au tatu unaunga na za mwanzo una songa mbele ndo inavyokuwa ila ukirudia form two ni cheti kipya hicho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.