pitia hapa kidogo

pitia hapa kidogo

danali

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2012
Posts
1,135
Reaction score
1,675
kanumba na sharobaro wanamuliza sajuki
'vipi mwenzetu mbona umekuja mapema ivi ndo kwanza mwanzo wa mwaka?. Sajuki alichowajibu 'nimewaletea ving'amuzi'...... to be continue hahaha
 
tunapaswa kuwaombea waliotangulia mbele za haki nasio kuwatumia kuchekesha watu
kwanza hacheki mtu hapa!
 
kanumba na sharobaro wanamuliza sajuki
'vipi mwenzetu mbona umekuja mapema ivi ndo kwanza mwanzo wa mwaka?. Sajuki alichowajibu 'nimewaletea ving'amuzi'...... to be continue hahaha

vipi unaripoti kutoka kuzimu?
 
haya masihara na marehemu mbona mm cwez....nyie mnaujasiri gani.
 
antena watatundikia wapi na wamefukiwa?
 
Hainichekeshi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom