Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

Hilo la element ndo sipendi kweli kusikia mtu akilisema! Na bodaboda wengi wanaita hivyo
 
Miaka kama mitatu nyuma ndo nimegundua kua natamka vibaya neno POSTPONE, ilikua nasema POSTPOND
 
Sikutegemea kama ungenijibu vizuri hivi.
Nilipokuwa nasoma nilipata tabu sana na yote hii ni baada ya kuwa naongea RPC. Maana nilikutana na watu wabishi sana kuelewa. Ahsante sana. Ukweli ni kwamba takribani asilimia 75 ya watanzania wanaoongea Kiingereza wanaongea Kiingereza cha Marekani na sio Uingereza. Mfano
Neno rangi kwa kiingereza ni COLOUR, lakini wengi wamefundishwa COLOR na linatamkwa KALA, lakini wengi wanatamka KOLO.
Natumai umenielewa.
Mimi ndo ata sifahamu naongea English ya wapi!!!
 
Unachobishia unakielewa kweli au ndio asili ya ubishi kwenu?

Kirefu cha hizo herufi kiandike kisha yasome kwa Sauti kuu

Kwa kurahisisha ni (Co-operative Rural Development Bank) = CRDB so huwezi tena kuweka Neno Bank zaidi maana ukitamka hivyo na ukaja kuweka tena kifupi chake inakuwa CRDBB Ambapo ni Wrong!

Na NMB ni National Microfince Bank so ukiongeza neno Bank it means kifupi chake kiwe NMBB. Am sure wewe ni Mjinga na sio Mpumbavu maana Mjinga akishapata ufahamu huelewa na kuwa Mpole kama Mnyonge. Sawa Babu tunaeleweshana tu humu.
Yani wewe bado ni "mshamba" sana kwenye hii tasnia. Nadhani hata google unaona tabu kutumia. Kama bado unawaza CRDB ni Cooperative Rural Development Bank... njoo hapa Bunju binti yangu yuko darasa la nne atakufundisha

Ile ni CRDB bank... sio initials kama ulivyokaririshwa na wajinga au ujinga wako.

Hivi unawezaje kuwa member wa JF afu unashindwa kuelewa ile bank ilishabinafsishwa na kwa sababu za "kibiashara" ikabidi CRDB iendelee kuwa kama jina lakini sio kwa initials za maana ya mwanzoni?

Siku nyingine ukome kumwita "babu" yako "mjinga" wakati kichwani kwako kumejaa "mapovu" badala ya ubongo.

Ile ni CRDB bank na sio CRD bank

Usije ukaleta ujuaji wako wa kijinga ukadhani watu wanakosea kama wanavyokosea kusema Barabara ya Morogoro road au Uwanja wa Taifa stadium....

Hivi huko shuleni huwa mnaenda kusomea ujinga?
 
Sawa lakini hii sio thread ya zamani... si ndio?
Ni kweli... lakini kama kuna mtu 45yrs old anesema niko hapa barabara ya kilwa road basi hata kipindi hicho atakua alikuwa anasema niko hapa crdb bank... labda mlaleo aliwasikia wakisema hivyo, labda bado anawasikia maana anaonyesha bado anaishi kwenye hiyo era ya crd bank.

Okeey basi tunaongelea current!!
 
Back
Top Bottom