Pita hapa ni muhimu

Pita hapa ni muhimu

Prezda

Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
61
Reaction score
9
mm ni mtumishi wa umma nilihamishiwa kituo kipya lkn mazingira hayo hayakuwa salama kwangu nikatoa taarifa kwa DED lkn akapuuza nikatoa taarifa TAMISEMI wakam order DED kunbadilishia kituo lkn kagoma six month sipo jobu salary amezuia ss nifanyeje?
 
Nenda kwa mkubwa wao kawasemee pale magogoni karibu na soko la samaki kama unaelekea ferry. Kama vipi mwombe daimond au ray c wakupeleke
 
Yani mtu ufanyi kazi unataka kulipwa..?hii nchi tunaitaji raisi atakaye ondoa,huu ujinga.!!
 
mm ni mtumishi wa umma nilihamishiwa kituo kipya lkn mazingira hayo hayakuwa salama kwangu nikatoa taarifa kwa DED lkn akapuuza nikatoa taarifa TAMISEMI wakam order DED kunbadilishia kituo lkn kagoma six month sipo jobu salary amezuia ss nifanyeje?

mkuu ukitaka kuhama fuata taratibu zote za uhamisho,hyo mazingira yasiyo ridhisha yapoje? hakuna wenzako wanaofanya kazi katika hyo mazingira? ushauri rudi kituoni kwako fanya kazi utakurudishia mshahara wako
 
Taarifa uliitoa kwa DED kwa barua au ana kwa ana?Kama ni kwa barua,mara nyingi majibu hasa ya uhamisho huwa yanatolewa na watu wa pembeni kwa nguvu ya mkuu wa idara yako.Kama hujawahi kuongea na DED moja kwa moja,tumia kila mbinu uonane naye.Uhamisho (mkoa kwa mkoa) ni haki ya mtu baada ya kuthibitishwa kazini.Wife alihama kutoka mahali kwa hatua hizo.
 
Waulize hao wenzio wakuambia utaratibu unaendaje halafu uanzie hapo na kupeleka madai yako mahala husika. Pole sana, kwahiyo huo muda wote kazi hufanyi na kula hauli. "Kweli nimeamini asiyefanya kazi na kula asile"
 
mm ni mtumishi wa umma nilihamishiwa kituo kipya lkn mazingira hayo hayakuwa salama kwangu nikatoa taarifa kwa DED lkn akapuuza nikatoa taarifa TAMISEMI wakam order DED kunbadilishia kituo lkn kagoma six month sipo jobu salary amezuia ss nifanyeje?

Umeondoka kazini then unataka mshahara ungekomaa hapo hapo mpaka ukahama moja kwa moja leo hii unalalamika mshahara na kazini haupo kwanza unajua mtaani kugumu then unataka kazi za mazingira mazuri haya kaa usubiri kazi za BOT utapata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom